Tansesco kununuliwa na Fedha ya Dowans!

Tansesco kununuliwa na Fedha ya Dowans!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
10,339
Reaction score
17,535
Makamba anakwenda kuuza Tanesco yetu na watakao inunua ndio hao wanaolipwa mabilioni ya dowans, kwa kifupi, wanachukuwa hela zetu Serikalini tunawalipa halafu wanatumia fedha hiyo hiyo kuinunua Tanesco na kuimiliki, is a zero sum game, …
 
Back
Top Bottom