Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
Wakuu ambao wako bongo watakubaliana na mimi kuwa sasa hivi kumekuwa na documentary ya ujenzi wa barabara nchini, documentary hiyo inaonesha barabara zilizojengwa na mipango ya barabara zitakazo jengwa, vilevile wanauliza comments kwa wananchi juu ya barabara hizo nina maswali mawili:-
1. Kwanini leo?
2. Enarudiwa rudiwa sana, nimeiona ITV kama mara Tano kwa muda wa week moja, same to Channel Ten na Star Tv.
Imekaaje hii
1. Kwanini leo?
2. Enarudiwa rudiwa sana, nimeiona ITV kama mara Tano kwa muda wa week moja, same to Channel Ten na Star Tv.
Imekaaje hii