TANROADS, TANROADS, kulikoni?

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2010
Posts
2,182
Reaction score
309
Jana nimesoma makala ya Lula wa Ndali-Mwananzela kwenye gazeti la Rai Mwema kwa masikitiko makubwa. Fedha zinazotajwa kuwa zimetumika kulipa faini kwa uvunjifu wa mikataba usiokuwa makini ni sababu tosha ya kumweka mtu rumande, achilia mbali kumfukuza kazi lakini mpaka leo, miaka mitatu baadaye hakuna hata dalili za mkurugenzi kuondoka licha ya mkataba wake kumalizika.

Je kuna nini hapa? Au ndiyo yale yale ya Home Shopping Centre na ushuru wa Forodha?
 

Nitashangaa kama serikali itachukua hatua. Uozo ni mkubwa mno ndani ya uongozi na nchi imekuwa kama meli isiyo na nahodha.
 

wamempa (Mrema) pole kule bungeni eti anasingiziwa...............na alipewa hongera kwa kuwa na miradi mingi 40......toka 10 ya Mkurugenzi aliyepita...........damn
 
This country is so pathetic! Ukisikia wanavyosifia jinsi tulivyopiga hatua unaweza ukazimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…