baba BillG
New Member
- Dec 21, 2012
- 3
- 0
Wadau vp,
Nafasi zilizotangazwa za TANROADS mbona Morogoro ndiyo wameishaita kwa ajili ya usahili, hawa jamaa wengine wa Dodoma, Lindi, Mtwara, n.k mbona kimya?
Tupasheni kama kuna mdau ana habari kuhusu hawa jamaa.
Nafasi zilizotangazwa za TANROADS mbona Morogoro ndiyo wameishaita kwa ajili ya usahili, hawa jamaa wengine wa Dodoma, Lindi, Mtwara, n.k mbona kimya?
Tupasheni kama kuna mdau ana habari kuhusu hawa jamaa.