ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,988
- 51,812
Ndio inatakiwa hizo nafasi watu waombe Ili wapate Kwa merit sio kuteuliwa na Rais mpaka connection.Shida huyo jamaa Mzuri anaweza kuwa hana connection ya kumsaidia kuteuliwa kwenye hiyo post
Maana Nchi hii kama hauna connection utasubiri sana kwenye Uteuzi
Watu wa hivyo wanaweza kuwabadili Watumishi wao ambao wanaishia Kwa kukaririshwa hawana uelewa Nje ya hapo.