Watz hawaelewii wanachokitaka hapa kila mtu anajikuta ni mtaalamu!!!Ilipoanza kujengwa mlilalamika sana na kusema hamtaki maendeleo ya vitu mnataka ya watu
Kuna jamaa juzi tu ametoka kuongea hii issue kijiweni hii serikali ya hovyo sanaWatu wanaowaza posho na kujineemesha wajenge barabara za kudumu na kuepusha matatizo kwa miaka 50 kweli?
Hujui kuwa mwisho wa uwezo wao kufikiri ndo kula yao?
Mbagala - Posta tu wamejenga barabara mpya za njia mbili mbili kila upande (kumbuka kwenye jiji la watu Mil 6) alafu katika kuingia posta kutoka mbagala wameweka njia moja moja kabisa kwa kila upande alafu ndo unasema una wakala wa barabara katika karne hii ya 21?
Nchi hii tuwarudishie wazungu tu waendelee kututawala.
Sasa kwanini wanasheria wetu wasiwe wanawashtaki hawa wakandarasi wanaotuharia nchi kama wao ndiyo moja ya sababu ya haya yote1.kwanza anaedesign barabara si tanroads ni maconsultant mfano mwendokasi imekua design na tanconsult..Tanroad yeye ni clients
2. Tanroads hushirikiana na consultant kuiba hela na njia wanayotumia ni kwenye variations
3.lakini consultant huchukua rushwa pia kwa contractor na Tanroad pia hichukua hela kwa contractor
4.kwa hiyo mwishoni huwa wanabadili michoro na kujenga hizo flyover palipotakiwa kujengwa interchange
5.mfano mzuri ni interchange ya ubungo gharama zilizidi ikabidi mchoro ubadilishwe mara tatu wakisingizia gharama zimeongezeka
6.wanasiasa pia hushirikiana na mkandandarasi kula hela ya serikali...hapa wao wanamsaidia kupata kazi then wao hupewa 1 to 5% ya hela mzima wa mradi
7.hapa yumo waziri na circle ya viongozi wachache wa juu...umafia unaofanyiaka hapa unategemea kiongozi wa juu yupo na kampuni gani
upeo wako Mdogo Sana umeishia kwenye ma shimoHaya dada angu, barabara ya Babati Singida umepita lini mkuu? haina mashimo?
kwa hiyo avatar yako tu siwezi bishana naweWe mwenyewe muongo sisi ndiyo tumefanya kaz hapo hiyo barabara imeanza kujengwa 2009 had 2012 ndiyo ilikamilika kutoka singida had babat then babat had minjingu
Sasa we unaona sahihi kikundi cha watu wachache kigawane billion 500 za kifisadi ama hizo hela zielekezwe kwenye ujenzi wa taifa?Ninachofahamu ni kuwa Tanroads hafanyi mwenyewe design isipokuwa anatumia Mkandarasi Mshauri yaani Consultant
Mkandarasi Mshauri ana-design kutokana na mahitaji ya Client ambaye ni Tanroads
Lakini tunajua kuwa Tanroads anafanya kazi kwa niaba ya Serikali maana ndiyo mtoa fedha
Sasa vipi iwapo mtoa fedha amepelekewa Mahitaji ya fedha ya kujenga barabara ya njia 8 lakini akasema nina hela ya kujenga njia 4?
Huyo Tanroads atatoa wapi fedha ya kujenga hizo njia 4 nyingine?
Kuhitimisha hili ni kuwa tusiwape lawama Tanroads bila kuangalia upana wa jambo lenyewe maana gharama za kujenga barabara ya njia mbili yaani 2-lanes ilifikia shilingi bilioni 1.6 kwa kila kilomita moja.
Imagine unajenga barabara ya kilomita 20 kwa Lane 8 itakuwa shilingi ngapi?
Tujikune Mkono unapofikia
Serikali au TanRoads?Kuna jamaa juzi tu ametoka kuongea hii issue kijiweni hii serikali ya hovyo sana
Hiyo Barabara si Mpya hiyo?TANROAD wao wanaombea barabara ziharibike mapema wapige pesa, juzi nimepita barabara ya Arusha Singida kuanzia Babati mpka karibu na Singida ni mashimo tupu na barabara haina hata miaka 10, tuna taasisi za kijinga haswa
Wakitatua kila tatizo watakosa vya kupigia kampeni. Wimbo ni fedha hamna ila anasa zinafanyika za kununua kila toleo la Landcruiser 😂Bongo huwezi kutana na watu wa mamlaka wanaotumia akili inapopaswa kutumia akili...
Mbezi Mwisho pale tu kuweka zile over pass ilikuwa ni baada ya kupigiwa kelele...
Mashimo tupu kuanzia Dareda(Babati) hadi SingidaHiyo Barabara si Mpya hiyo?
Bora ningesema peke angu ningeambiwa muongo, ni barabara mbovu haswa hata mimi nilipita kwa shida snHiyo barabara imenipasulia tairi la gari alhamisi liyopita...barabara imechoka balaa...wachina sio watu
Mkuu wewe ni Mhandisi? Unajua 10% of road is allowed to perform unsatisfactorily hata kama Ina week?Umesema sahihi
Suala la kupungua kwa maadili limechangia pakubwa kufikia huku.
Ndiyo maana leo hii barabara yenye design life ya miaka 20 unakuta baada ya miaka 5 tu unakuta imeshaanza kuzibwa Viraka
Waziri wa Ujenzi alikuwa nani?Mashimo tupu kuanzia Dareda(Babati) hadi Singida
Kinyume chake ni sahihi pia, wasio na fani husika ndio huja kimbelembele kusifia pale ambapo fani fulani inapofanya vizuri. 🤓Nilichojifunza kwenye huu Uzi watu wasio wa Fani Husika huwa kimbelembele sana kukosoa Fani zingine.
KabisaKinyume chake ni sahihi pia, wasio na fani husika ndio huja kimbelembele kusifia pale ambapo fani fulani inapofanya vizuri. 🤓
Ndiyo Mkuu ....Mkuu wewe ni Mhandisi? Unajua 10% of road is allowed to perform unsatisfactorily hata kama Ina week?