Tano bora yangu ya CCM ni hii

Tano bora yangu ya CCM ni hii

Mkuu Lowasa yupi yule mwizi au mwingine?

Kama Lowassa ni mwizi basi chama chote kimejaa majambazi. Angekua mwizi naamin chama kingekua kimemwajibisha na kumuadabisha nakupelekwa kule wezi wanapopelekwa. Hakuna mwizi anayeweza kumuadabisha mwizi mwenzake.
 
Kama Lowassa ni mwizi basi chama chote kimejaa majambazi. Angekua mwizi naamin chama kingekua kimemwajibisha na kumuadabisha nakupelekwa kule wezi wanapopelekwa. Hakuna mwizi anayeweza kumuadabisha mwizi mwenzake.

Hapo umenena Mkuu. Makongolo mwenyewe kaliona hilo.
 
Camalillo

Hakuna kitu ni ndoto za raia mwema hizo.jamani rais hateuliwi na nape na familia ya jk bali na mkutano mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Watu bado mmelala mnalopoka unaambiwa gayet we unarema watakurhitaki vp we umekula maharage ya wapi?
 
Camalillo

List za 5 bora ziendelee, zije listi za 3 bora na kumalizia kwa mgombea! ila rais wa Tanzania 2015 ni mmoja tuu kupitia ndani ya CCM ikishindikana, then nje ya CCM!.

Pasco
 
Last edited by a moderator:
List za 5 bora ziendelee, zije listi za 3 bora na kumalizia kwa mgombea! ila rais wa Tanzania 2015 ni mmoja tuu kupitia ndani ya CCM ikishindikana, then nje ya CCM!.Pasco
Mkuu yawezekana uko sahihi, maana tatizo kuu liliopo ccm kwa sasa ni namna ya kumpata 'Yuda' wa kulikata jina la Lowasa! Unakumbuka Mudhihir na Zitto wa Buzwagi?
 
Uelewa ... kazi kwelikweli, tumsamehe tu

Mkuu, nadhani ninyi ndiyo hamjamuelewa jamaa. Raiamwema wametabiri/bashiri tano bora ya wagombea wa CCM. Kabla ya kifo chake shekhe Yahya naye alikuwa akifanya hivyo. Jamaa kaandika RIP shekhe Yahya kama kejeli kwa raiamwema kuwa wameridhi mikoba ya shekhe Yahya (utabiri)
 
Mbona hao wote ni team Membe???
Kuondoa tu huyo judge
 
Hata mie ninayo tatu bora yangu, raia mwema wanitafute leo mchana niwapatie
 
1.John Pombe Magufuli
2.Mark Mwandosya
3.Augustino Ramadhani
4.Bernard Membe
5.Makongoro Nyerere

Source: Raia Mwema, Juni 24-30, 2015
Ondoa Membe weka Bilal.
Ondoa Magufuli weka Pinda.
Source: Mimi Mwenyewe.
 
Mkuu yawezekana uko sahihi, maana tatizo kuu liliopo ccm kwa sasa ni namna ya kumpata 'Yuda' wa kulikata jina la Lowasa! Unakumbuka Mudhihir na Zitto wa Buzwagi?

Mudhihir c ndio yule aliyepata ajali akakatwa mkono?
 
Bila Mbunge wangu Dr Mwakyembe tano bora yako haijakamilika
 
Ili wakimkata Edo waseme it was the right thing to do, Eti ilijulikana Mawazo yake Mwandishi everyone is entitled to
 
Back
Top Bottom