The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,550
- 20,343
GT
Tangu enzi hizo miaka.ya 2000 ITV ilikuwa ni super brand kweli kweli ukiunganisha na east Afrika TV sisi wakongwe tunaelewa sana.
Ukitaka habari za uhakika na uhondo and balanced ITV ilikuwa kimbilio la watanzania wote. Sasa hivi ITV wana attend hadi press za kupuuzi na udaku.
Enzi hizo Kitu kinaanza unamwona Godwin gondwe anashusha.habari nzito nzito na waandishi wa habari waliosambaa nchi nzima.
Ebana ee ilikuwa ni burudani wakati huo akina TBC wanachechemea. Tangu afariki mzee Mengi hiki chombo kimegeuka kuwa cha kupuuzi na uchawa mwingi sana.
Ama kweli mzee ni Nguzo ya Familia
Tangu enzi hizo miaka.ya 2000 ITV ilikuwa ni super brand kweli kweli ukiunganisha na east Afrika TV sisi wakongwe tunaelewa sana.
Ukitaka habari za uhakika na uhondo and balanced ITV ilikuwa kimbilio la watanzania wote. Sasa hivi ITV wana attend hadi press za kupuuzi na udaku.
Enzi hizo Kitu kinaanza unamwona Godwin gondwe anashusha.habari nzito nzito na waandishi wa habari waliosambaa nchi nzima.
Ebana ee ilikuwa ni burudani wakati huo akina TBC wanachechemea. Tangu afariki mzee Mengi hiki chombo kimegeuka kuwa cha kupuuzi na uchawa mwingi sana.
Ama kweli mzee ni Nguzo ya Familia