Tangu hawa watatu waondoke, Rais Samia kapwaya sana

Tangu hawa watatu waondoke, Rais Samia kapwaya sana

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,269
Reaction score
13,895
1756905205740.png
1756905214534.png

1756905226088.png




Tatizo la kuondoa vipaji na kuweka machawa ndiyo kunaonyesha mapungufu ya Raisi. Yule Raisi wa 2021-2022 sio huyu
 
Tukiendelea naye mambo yanaweza yasibadilike au yakawa mabaya zaidi kulingana na utekaji, uaji, ufiraji na ubadhilifu/ufisadi wa kiwango cha kutisha kwani hakemei kabisa, mliombee sana taifa kwa dini zenu, akija kiongozi mwingine baada yake sema 2030 anaweza kukosa pesa au kukopesheka ili afanye maendeleo, wananchi wanyonge mtabakia kulipia madeni aliyowaachieni.
 
Huyo Day worker wa Msoga gang ni wa kumuhurumia tu!!
 
Back
Top Bottom