figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Hii operamin ya vodacom bila shaka leo wametoa offer. sababu tangia asubuhi naingia jf na kutoka na sijakatwa hata shilling kumi kwenye simu. Vilevile ipo fasta sana. Nataka kujua ni kwangu tu au kwa watu wote?. Kama itaendelea hivi basi itakua mpango mpango. mia