NASEEB HASSAN
Member
- Oct 7, 2017
- 42
- 27
My brother ukija kukuta ndizi,tango,na karoti kwenye friji la mwanamke ambae yupo singo,,usile,,,narudia tena usile
_USHAURI WA BURE NIME WAPA_
_USHAURI WA BURE NIME WAPA_




Hahahahahaaaa,,,,,,,,wewe hutumii hayo???My brother ukija kukuta ndizi,tango,na karoti kwenye friji la mwanamke ambae yupo singo,,usile,,,narudia tena usile
_USHAURI WA BURE NIME WAPA_
Kwan ulikula matango ya watu dada wa jiran
Mawazo machafu haya
N vzur unanua matunda kwa yule dada ila sio wote endelea kula matunda upate afyambona mnazama chumvini sasa?
ukitakula matunda mfano ndizi c unamenya maganda?
labda yeye ala na maganda kama Tarzanmbona mnazama chumvini sasa?
ukitakula matunda mfano ndizi c unamenya maganda?
Hujasema linakuwa na nini!My brother ukija kukuta ndizi,tango,na karoti kwenye friji la mwanamke ambae yupo singo,,usile,,,narudia tena usile
_USHAURI WA BURE NIME WAPA_
Daah unajskiaje mkuuMkuu mbona hapa nimemaliza kula tango sasaivi? Kwani kuna nini mkuu?
N vtamin chief usiwaze endelea kula matango ya kina dadaHujasema linakuwa na nini!