Nipo Ruhazwe JR tena nimejaa tele sana tudah! We kijana sijaona kura yako
Ruhazwe JR nahamasisha watu wasipige kura ili mradi mkose mnachotaka
ummu kulthum hujambo mpenzi ?mbona sina ban na kikao cha majaji nilihudhuria
we sema yoteee ila nikikumata ujue unaliwa 0713 mbele ya makameraman wangumoja ya sifa ya mwanaume ni kujiamini,inaonekana hujiamini kiboko yako ni wakati ndio sasa
we sema yoteee ila nikikumata ujue unaliwa 0713 mbele ya makameraman wangu
ningependa kujuzwa kama bikini wear itakuwepo!! mie hapo tu, baaaaassssiiii!
we sema yoteee ila nikikumata ujue unaliwa 0713 mbele ya makameraman wangu
wala simsikilizi anakuvizia huyu
Si unajua alikuwa wangu enzi hzo hata K'koo hapajui?
Sasa nimempata mwingine analeta ufisadi wake.
Amwage sera sio kujifanya askofu wakati alibwagwa