Tangazo tangazo tangazo : Gari linauzwa

Tangazo tangazo tangazo : Gari linauzwa

SNAP J

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
7,117
Reaction score
8,096
Wana JF, kuna mtu ninayefahamiana naye, anaishi maeneo ya Mbezi beach anauza gari aina ya Toyota premio (New Model:2010), bei ambayo ni sawa na bure ukilinganisha na thamani ya gari lenyewe (Mil.4 za Kitanzania).

Amefikia uamuzi huo wa kuliuza gari lake hilo jipya ambalo lipo katika hali nzuri kabisa (mimi nimeliona) baada ya kushindwa kulipa deni analodaiwa na benki flani hapa nchini, ambapo hadi kufikia kesho anapaswa awe amelipa deni hilo, ambalo kaweka rehani nyumba yake.

Ni kiasi kidogo tu cha fedha anachohitaji kilichobaki ili aweze kamilisha deni hilo, la sivyo nyumba yake itapigwa mnada, ndio maana amefikia uamuzi wa kuliuza gari lake.
 
million 4? new model?ebu kuwa serious kidogo
 
SERIOUS BRO. 4 mil!.
 
If someone wish 2 BUY, I can send yu a photo.
 
ila mkuu mbona ilo tangazo umeweka kwenye udaku na utani? au unatutania?
 
Haya wana JF, naona wengi mnakiu ya kutaka kuliona na kupata more details.
Ngoja niwatumie picha basi.
olds2.jpg
Tuwasikiane *(only for those serious buyer tu) katika nambari +003333444455.
 

Attachments

  • olds.jpg
    olds.jpg
    11.6 KB · Views: 141
By KIDOLEGUMBA
ila mkuu mbona ilo tangazo umeweka kwenye udaku na utani? au unatutania?

Haya wana JF, naona wengi mnakiu ya kutaka kuliona na kupata more details.
Ngoja niwatumie picha basi.
View attachment 142984
Tuwasikiane *(only for those serious buyer tu) katika nambari +003333444455.

Post ya KIDOLEGUMBA ndiyo iliyonizindua, nikategemea kuona kitu hii.
Teh teh teh, tulishaanza kutafuta mikopo ya harakaharaka tulinunue...
 
Back
Top Bottom