Tangazo,tanganzo,tangazoooo!!!

Tangazo,tanganzo,tangazoooo!!!

ummu kulthum

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
2,784
Reaction score
1,317
kwanza kabisa niwashukuru wale wooote waliopendekeza nibadilishe MY AVATAR cacico, charminglady, FirstLady1 na wengineo waliochangia kwa maandishi Bishanga, Judgement, Erickb52, platozoom, Pombekali, Kaizer ummu kulthumu na jopo lake wameamua kutafuta mtu au watu watakaofanikisha kupata Avatar yenye mvuto!

masharti ya jumla kwa msaka avatar!
1. iwe na sura ya upole na ukarimu wa kike
2. macho yenye mvuto wa mahaba
3. ushungi wa mbali huku ikiacha nywele kuonekana kwa chati
4. dimpozi sio lazima sana
5. mdomo wenye mvuto wa kumshawishi rijali kunywa juice mara kwa mara
6. sura ya oval rangi ya chugwa
7. iwe na maadili ya kizazi kipya
imedhamiwa na Young_Master, platozoom, huyu nimemsahau jina.

vigezo na masharti kuzingatiwa
zawadi nono itatolewa ikiwemo mbija,makofi,vigelegele,nderemo na vifijo.
haya sasa wadau kazi mikononi mwenu tiririkeni now!!!
 
kwanza kabisa niwashukuru wale wooote waliopendekeza nibadilishe MY AVATAR cacico charminglady FirstLady1 na wengineo waliochangia kwa maandishi Bishanga Judgement erick52 platozoom pombekal i@kaizer
ummu kulthumu na jopo lake wameamua kutafuta mtu au watu watakaofanikisha kupata Avatar yenye mvuto!
masharti ya jumla kwa msaka avatar!
1. iwe na sura ya upole na ukarimu wa kike
2. macho yenye mvuto wa mahaba
3. ushungi wa mbali huku ikiacha nywele kuonekana kwa chati
4. dimpozi sio lazima sana
5. mdomo wenye mvuto wa kumshawishi rijali kunywa juice mara kwa mara
6. sura ya oval rangi ya chugwa
7. iwe na maadili ya kizazi kipya
imedhamiwa na Young_Master platozoom HUYU nimemsahau jina.

vigezo na masharti kuzingatiwa
zawadi nono itatolewa ikiwemo mbija,makofi,vigelegele,nderemo na vifijo.
haya sasa wadau kazi mikononi mwenu tiririkeni now!!!
Sawa ngoja nikuandalie chap na naamini utaipenda sana aisee
 
Last edited by a moderator:
Wadau kwa taarifa yenu ummu kulthum ndiye mchumba wangu mtarajiwa na kama alivyosema mwenyewe mimi na mdogo wangu Young_Master ndio wadhamini wa huu mtanange.

Ni muhimu kukumbuka vionjo alivyovisema bibie kwa umakini mkubwa. Kumbuka pia lazima mzingatie kuwa avatar iwe pia na vionjo vitakavyonifanya nihisi kwamba kweli nimepata mtoto mashalaah.

Tahadhari: Huu si ukumbi wa kutongozana wala kupeana promise. Lete maoni yako au avatar.

Here we go!

Wakatabahu platozoom
JF FOUNDER
 
Last edited by a moderator:
Hebu check hii
Ummu.jpeg
Hii ni maalumu kwa ajili ya kumkumbuka bibie wangu...pozi lake!
Kama hujaipenda sema nikue nyingine chap
 
Wadau kwa taarifa yenu ummu kulthum ndiye mchumba wangu mtarajiwa na kama alivyosema mwenyewe mimi na mdogo wangu Young_Master ndio wadhamini wa huu mtanange.

Ni muhimu kukumbuka vionjo alivyovisema bibie kwa umakini mkubwa. Kumbuka pia lazima mzingatie kuwa avatar iwe pia na vionjo vitakavyonifanya nihisi kwamba kweli nimepata mtoto mashalaah.

Tahadhari: Huu si ukumbi wa kutongozana wala kupeana promise. Lete maoni yako au avatar.

Here we go!

Wakatabahu platozoom
JF FOUNDER

hongera sana platozoom
 
Last edited by a moderator:
Wadau kwa taarifa yenu ummu kulthum ndiye mchumba wangu mtarajiwa na kama alivyosema mwenyewe mimi na mdogo wangu Young_Master ndio wadhamini wa huu mtanange.

Ni muhimu kukumbuka vionjo alivyovisema bibie kwa umakini mkubwa. Kumbuka pia lazima mzingatie kuwa avatar iwe pia na vionjo vitakavyonifanya nihisi kwamba kweli nimepata mtoto mashalaah.

Tahadhari: Huu si ukumbi wa kutongozana wala kupeana promise. Lete maoni yako au avatar.

Here we go!

Wakatabahu platozoom
JF FOUNDER
platozoom mama angu weee!!mbona umetiririka sana si ilikuwa bado.............basi bana nakubali yaishe
 
Last edited by a moderator:
Wadau kwa taarifa yenu ummu kulthum ndiye mchumba wangu mtarajiwa na kama alivyosema mwenyewe mimi na mdogo wangu Young_Master ndio wadhamini wa huu mtanange.

Ni muhimu kukumbuka vionjo alivyovisema bibie kwa umakini mkubwa. Kumbuka pia lazima mzingatie kuwa avatar iwe pia na vionjo vitakavyonifanya nihisi kwamba kweli nimepata mtoto mashalaah.

Tahadhari: Huu si ukumbi wa kutongozana wala kupeana promise. Lete maoni yako au avatar.

Here we go!

Wakatabahu platozoom
JF FOUNDER

Teh teh teh!!! platozoom bwana. Ngoja niwahi kwanza sokoni halafu ndio ntakuja kusema yaliyo moyoni na mfukoni mwangu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom