Tangazo la TANESCO la humu JF limependeza sana.

Tangazo la TANESCO la humu JF limependeza sana.

PAGAN

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
13,852
Reaction score
23,441
3832241252417905426


9580964849191676344
 
Hivi huku Tanesco kuna mapapa gani kiasi Mh Rais hapagusi, kwanini shirika lijiendeshe kwa hasara? Mh Rais pitia Tanesco ila majipu yake haya vichwa.
 
Hivi huku Tanesco kuna mapapa gani kiasi Mh Rais hapagusi, kwanini shirika lijiendeshe kwa hasara? Mh Rais pitia Tanesco ila majipu yake haya vichwa.
Unaweza kukuta kuna akina "Bashite" wasiotumbulika huko!
 
Hivi huku Tanesco kuna mapapa gani kiasi Mh Rais hapagusi, kwanini shirika lijiendeshe kwa hasara? Mh Rais pitia Tanesco ila majipu yake haya vichwa.
Mkuu kwan ni shirika gani linajiendesha kwa faida?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom