Tangazo kwa Umma.
Ndugu Watanzania tunasikitika kuwatangazia kuwa maji yaliyobaki Mtera ni ya kuchambia tu! Sasa tuamue tupate umeme na tubaki na mavi au tuchambe tukose umeme.
Asanteni, Ngeleja.
tangazo kwa umma.
Ndugu watanzania tunasikitika kuwatangazia kuwa maji yaliyobaki mtera ni ya kuchambia tu! Sasa tuamue tupate umeme na tubaki na mavi au tuchambe tukose umeme.
Asanteni, ngeleja.
hahahahahahahhahahahahahahahahahahahahhaaahh kudadesa zake ngeleja...hhahahhahahaahha bora tuchambie tu umeme anasa....hahhaahh
itafika mahala tu mkubali mwalimu alikuwa kichwa cha tz. Hata ya kuchambia yatakuwa ya mgao vilevile
crap! acheni maneno haya
acha uongo hao sio...Hao ndio CHADEMA!