Tangazo la kuitwa kwenye usahili.

Tangazo la kuitwa kwenye usahili.

mirrie_e

New Member
Joined
Aug 8, 2016
Posts
4
Reaction score
0
Katibu wa Sekretariet ya Ajira katika utumishi wa umma kwa niaba ya Muhimbili National Hospital(MNH),MOI,GCLA,Tanzania Forest Services(TFS),The Local Government Training Institute(LGTI) na Eastern Africa Statistical Training Centre(EASTC) anapenda kuwataarifu waombaji kazi wote walioomba kazi za Taasisi hizo kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia Trh 14-21/10/2017.
 

Attachments

Similar Discussions

Back
Top Bottom