Dr Madam
New Member
- Oct 21, 2021
- 2
- 3
LIZONA ENTERPRISES LTD iliyopo mkoani Mwanza inawatangazia nafasi za kazi kwa watu wote wenye sifa.
Nafasi Za kazi ni kama ifuatavyo :-
SIFA
lizonaenterprisesltd@gmail.com
Nafasi Za kazi ni kama ifuatavyo :-
- Msimamizi mkuu na Mtawala(1)
- Wauzaji wa bidhaa(15)
- Wasambazaji na wapangaji wa bidhaa(18)
- Wapokeaji na waelekezi wa wateja sehemu husika(11)
- Usafi wa maeneo yote ya kazi(5).
SIFA
- Katika nafasi ya Msimamizi mkuu muombaji anatakiwa kuwa na uzoefu wa usimamizi wa biashara angalau miaka miwili pia awe na diploma na kuendelea katika fani ya biashara.
- Awe na cheti cha kidato cha IV.
- Awe na umri usiozidi miaka 30.
- Awe tayari kuishi mkoani mwanza
- Awe na wazamini wawili wa kuaminika.
- Awe anajua kuongea na kuandika kiswahili kiufasaha.
- Awe mbunifu na mwenye akili timamu.
lizonaenterprisesltd@gmail.com