Mkuu Kiboko, natofautiana na wewe, Kobonde yuko good na tangazo liko bomba sana, ujumbe umewafikia wengi mimi nikiwa ni mmoja wapo wa walioguswa na kuamua kupunguza michepuko nikielekea kwenye kuacha kabisa!.
TV zilipoanza, sura nzuri na muonekano mzuri kwenye TV screen vilikuwa vigezo, hivyo matangazo ya TV waliwatumia top models, beauty qeens na ma HB only!. Enzi hizo hata wasoma habari wote ilikuwa ni lazima ku shave ndevu!.
Sasa tuko kwenye modern word, kinachomater kwenye tangazo zuri, sio sura, muonekano, au urembo, bali "the power behind!", mtu ukiwa al maarufu, haijalishi sura yako ikoje, kama unaweza kuwasilisha hoja vizuri na ikakubalika, then you are the man kwa tangazo!, sio sura, sio dental formular ni ujumbe na umefika!.
Labda kama una matatizo yako mengine ya kutomkubali Kibonde kwa mengine, hivyo kujikuta unamchukia bure!. Hebu lifikirie lile tangazo la Ben Mkapa na mambo ya watoto!, unaweza kulilinganisha na la Kibonde?!. Tangazo la Kibonde la michepuko ni moja kati ya matangazo mazuri sana!.
Kwa upande wangu, labda kwa sababu nafahamiana na Kibonde personally na naijua status as far as michepuko is concerned, tangazo hilo kwangu is even more powerful and inspires changes za kuacha michepuko, unapohubiriwa na "wazee wa michepuko" kuacha michepuko!" ndio maana kiukweli kabisa, and this is not a joke!, nimeguswa na kupunguza michepuko!. Inaweza kubakia ile ya lazima tuu wakati wa safari za muda mrefu!.
Pasco.