Tangazo la epuka michepuko

Tangazo la epuka michepuko

No way!, kinachomater kwenye tangazo its not look, its impact!. Tangazo lina a very big impact!, kwa sababu Kibonde ni public figure, well known, anauwezo wa kujieleza na anakubalika sana!.

Lingekuwa ni tangazo la kuuza bidhaa fulani, hapo ningekubaliana na wewe, use attractive face to draw attention ya mtazamaji, ndipo aione bidhaa yako!. Lile ni tangazo la "attitude change!", lazima lifanywe na mature person, public figure, local celeb, anayekubalika, atakayeleta impact kwa jamii!, Kibonde amefiti kwenye hizo idara zote!.

Mimi binafsi, Kibonde namkubali sana kama mtangazaji na ni mhamasishaji mzuri, tatizo lake, namuona kama mjinga mjinga fulani!, namna pekee ya kuuondoa huo ujinga ujinga fulani ni "kusoma vitabu!, kuongeza maarifa, au kwenda shule kuongeza elimu!", other wise katika idara nyingine zote yuko ok!.
Pasco.

Pasco wa JF
 
Last edited by a moderator:
kwanza nae nackia ni carrier sasa kwann yeye hakuacha michepuko? Au ndo mtasema zipo njia nyingi za kuupata? Lakini michepuko ndo kila ki2
 
Hawa jamaa cjui wametumia vigezo gani tu kumkabidhi ubalozi Ndugu Ephraim KIBONDE kutoa video advert ya tangazo hili ilihali dental formula yake haijakaa sawa na hana good visual kwa screen?

Mytake; Upande wa audio sawa saut yake ipo juu bt sio kwenye Video kila nkikiona hlo tangazo nachefuka sana wakuu,,,achen ukiritimba wapeni ubaloz watu waliojaliwa kuwa na muomekano mzur ili wawez kuwa mabaloz wazur wa kitu huska.

Nawasilisha wakuuu

Acha wivu, ulitaka upewe ww
 
wanawake ndo wanajua mvuto wa mwanaume uko wapi. we mleta mada n
i mwanamke? hadi uone sura mbaya ya kibonde? au mwenzetu unavutiwa na jinsia moja. tena usisahau weka picha yako tuone unavyovutia.

Un muda gan toka umetoka mwezin dada debon
 
Sio tetesi, kibond na mkewe wanaishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi longtime kitambo, nadhani thats why amekubali kuwa balozi na alishaikubali hali yake thts why yuko happy
Hata mm hzo tetes nlizisikia muda mrefu sana,na lisemalwo lipo kama halpo laja,i second u
 
Mkuuu Ram hapo sasa umenena ukwel yule coz n n postv ndo maana amekubali kuwa baloz wao,nawao walilenga mtu wao lakn kwenye kusambaza ujumbe kama ujumbe hakustahl hata kdogo wato watoto kama kina Milard Ayo,hbaba, na celebrities kbao wenye ushawish mkubwa bt sio hyu jamaa na mpangilio mbovu wa meno yake
 
wanawake ndo wanajua mvuto wa mwanaume uko wapi. we mleta mada n
i mwanamke? hadi uone sura mbaya ya kibonde? au mwenzetu unavutiwa na jinsia moja. tena usisahau weka picha yako tuone unavyovutia.

Watu wanamchukia Kibonde kutokana na mapenzi yake kwa CCM na mchezo wake wa kuviponda vyama vya upinzani.
 
Hawa jamaa cjui wametumia vigezo gani tu kumkabidhi ubalozi Ndugu Ephraim KIBONDE kutoa video advert ya tangazo hili ilihali dental formula yake haijakaa sawa na hana good visual kwa screen?

Mytake; Upande wa audio sawa saut yake ipo juu bt sio kwenye Video kila nkikiona hlo tangazo nachefuka sana wakuu,,,achen ukiritimba wapeni ubaloz watu waliojaliwa kuwa na muomekano mzur ili wawez kuwa mabaloz wazur wa kitu huska.

Nawasilisha wakuuu

Huu ni utoto sasa!
 
Kwahiyo ukiwa n sura ngumu kma mpoto lazma uhonge ili upendwe.kwel wanaume tuna kazi
 
Usikute kunamengine ambayo mtu akimuona kbondo anariflekti kichwani mwake km yapo semeni tu ...maana lile si tangazo tu wapendwa
 
Wamezingatia uhalisia wa mhusika. Yeye tayari anaishi kwa kutumaini.
 
Back
Top Bottom