Tangazo la epuka michepuko

Tangazo la epuka michepuko

Kiboko.

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
2,896
Reaction score
1,214
Hawa jamaa cjui wametumia vigezo gani tu kumkabidhi ubalozi Ndugu Ephraim KIBONDE kutoa video advert ya tangazo hili ilihali dental formula yake haijakaa sawa na hana good visual kwa screen?

Mytake; Upande wa audio sawa saut yake ipo juu bt sio kwenye Video kila nkikiona hlo tangazo nachefuka sana wakuu,,,achen ukiritimba wapeni ubaloz watu waliojaliwa kuwa na muomekano mzur ili wawez kuwa mabaloz wazur wa kitu huska.

Nawasilisha wakuuu
 
kibonde is enjoying valentine with his wife
 
Yenye sura mbovu yanachepuka sana,
yanahonga sana kuona kama yanapendwa na wanawake wengi,
acha litumike tu,
muache tu!!

Hahahahahahaha umenchekesha sana mkuu
 
Ujumbe uliomo ktk tangazo umeuelewa? Kama umeuelewa lengo limefanika.

Kuulewa sio tatzo,tatzo je litafanikiwa wafikia walengwa wote na onesha postve results?huna muonekAno mzur unategeme watu watakuangalia????
 
Ujumbe uliomo ktk tangazo umeuelewa? Kama umeuelewa lengo limefanika.

Ni kweli wale wenye Sura mbaya Ndio vinara wa Kuchepuka kwani hutumia Pesa kununua Love penzi limegeuka Kuwa Miladi ya wanawake wasio waaminifu hivyo watachepuka sana na Wanaume wakware wenye Sura Kama kivuri cha Ngisi ambao wapo Tayari kuzilaza familia zao njaa ili mladi atimize haja zake huko kwenye Mchepuko Chezea Sura mbaya wewe ....
 
Kuulewa sio tatzo,tatzo je litafanikiwa wafikia walengwa wote na onesha postve results?huna muonekAno mzur unategeme watu watakuangalia????

Lengo kuu si kuangalia sura ama mvuto wa Kibonde,LENGO ni kuepuka michepuko simama Ktk njia kuu.
Usiangalie nani anatangaza wewe zingatia nini anakitangaza.
 
Lengo kuu si kuangalia sura ama mvuto wa Kibonde,LENGO ni kuepuka michepuko simama Ktk njia kuu.
Usiangalie nani anatangaza wewe zingatia nini anakitangaza.

Ntazngatiaje wakat mwonekano wake mbaya wanichefua hata kusikiliza stak sikiliza,,,,ukwel ubakie kuwa ukweli kama huna good visual waachie wenye haiba zao wafanye kaz
 
nimeanza kumuona kwenye matangazo ya tv tangia 96(CTN)...na yanafanya vizuri tu...

Nipe mfano n matangazo yapi kafanya yy na yakafanya vizur??
Mie natoa mfano wa watu hawa
Kanumba startims/zantel
Barafu voda
Kaseja pepsi
 
Wenye Pesa wengi si HB lakini wameoa wanawake Bomba sana hivyo kwa 80% wanawake wanaishi Nao ndoa za kinafiki tu yaani wamefuata Mali tu Ndio Maana kuchepuka hakumaliziki milele kwani Rushwa ya Ngono na vishawishi vimeshamiri hususani toka kwa Wanaume Wenye Sura mbaya, Vitambi vikubwa,wanene kupindukia na wafupi Kama mbirikimo havitakwisha kwani wao Nao wanawatamani wanawake warembo.Na njia pekee ya kuwapata ni kuchepuka tu Hivyo kuutokomeza mchepuko itachukua Miaka kadhaa hv
 
Ni kweli wale wenye Sura mbaya Ndio vinara wa Kuchepuka kwani hutumia Pesa kununua Love penzi limegeuka Kuwa Miladi ya wanawake wasio waaminifu hivyo watachepuka sana na Wanaume wakware wenye Sura Kama kivuri cha Ngisi ambao wapo Tayari kuzilaza familia zao njaa ili mladi atimize haja zake huko kwenye Mchepuko Chezea Sura mbaya wewe ....


...nimeipanda!
Kuna mdada moja ana sura mbaya sana imembidi anunue gari ili iwe rahisi kuwada ma.com, wanaopenda vya mteremko. "alikuwa analalamika eti waume hamtaki!"
 
...nimeipanda!
Kuna mdada moja ana sura mbaya sana imembidi anunue gari ili iwe rahisi kuwada ma.com, wanaopenda vya mteremko. "alikuwa analalamika eti waume hamtaki!"

Ukiona Sura Mbaya anaishi na Sura Nzuri huko wote ni Masikini sana Ujue hapo pana Upendo wa Dhati na ni nadra kuwepo na Mchepuko Lakini ukiona Sura nzuri kaoana na sura mbaya kisha Yule sura mbaya Akiwa ndiye mwenye pesa tambua hapo Hakuna upendo wa dhati kuna penzi la kinafiki na Ndio chimbuko la Michepuko isiyokwisha
 
Kuulewa sio tatzo,tatzo je litafanikiwa wafikia walengwa wote na onesha postve results?huna muonekAno mzur unategeme watu watakuangalia????

kama kuelewa sio tatizo basi ujumbe umefika. ile mara moja tu ulipoliangalia ilitosha au wewe unataka uliangalie mara ngapi ili ulielewe?
 
coca cola nao walimweka diamond ameshika sada vidole havina mvuto kabisa na vikaharibu tangazo.
 
Tatizo sio sura mbaya tatizo kuridhishwa kitandani, we kuwa na shalobaro anagonga hata ufiki kileleni anamaliza kama ujaja kwa sura mbaya wanasimamia hadi kucha, hapo mwanamke nje haendi na michepuko inatoweka
 
Back
Top Bottom