Kiboko.
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 2,896
- 1,214
Hawa jamaa cjui wametumia vigezo gani tu kumkabidhi ubalozi Ndugu Ephraim KIBONDE kutoa video advert ya tangazo hili ilihali dental formula yake haijakaa sawa na hana good visual kwa screen?
Mytake; Upande wa audio sawa saut yake ipo juu bt sio kwenye Video kila nkikiona hlo tangazo nachefuka sana wakuu,,,achen ukiritimba wapeni ubaloz watu waliojaliwa kuwa na muomekano mzur ili wawez kuwa mabaloz wazur wa kitu huska.
Nawasilisha wakuuu
Mytake; Upande wa audio sawa saut yake ipo juu bt sio kwenye Video kila nkikiona hlo tangazo nachefuka sana wakuu,,,achen ukiritimba wapeni ubaloz watu waliojaliwa kuwa na muomekano mzur ili wawez kuwa mabaloz wazur wa kitu huska.
Nawasilisha wakuuu