Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Tangazo kwa wachaga wote;Chuo kipya kabisa cha kichaga (CHAGGA UNIVERSITY COLLEGE OF LIFE) kinatangaza kozi mpya kwa mwaka wa masomo 2011/2012 kama ifuatavyo;1-UBAHILI Miezi 3. 2-ULEVI miezi 5.3-UCHAKARIKAJI miezi 6.4- KUACHA WAKE KIJIJINI miezi 9.5-KUENDESHA PIKIPIKI mwezi 1.6-KUSOGEZA MIPAKA YA SHAMBA LA JIRANI miezi 12. Atakaejiunga mapema atapewa ofa kozi ya kupika mbege na kutembeza Ndizi BUREE! .........