toka lini ndoto ikaeleweka. Mtu unakula ugali na maharage mchan kweupe na kisha unapata nap, nategemea nini kama siyo kuota ndoto za mchana. Si unajua ndoto huwa hazina mwanzo wala mwisho; kichwa wala mkia; na ndoto si utabiri. Ngoja mtoa mada aamke toka usingizini atakuta alikuwa anaota!mkuu vipi? mbona hueleweki?
jaman mchuano wa chadema na ccm sasa umekua mkubwa kiasi cku zinapokaribia 2015 mambo mzito yanaibuka. Watu wanatishiwa maisha wengne wanataka wapinzani wao wafutwe na msajili wa vyama, sasa je ikatokea leo chadema ikafutika yenyewe au vingnevo ccm na serikali yake unaipa sura gani kwa jinsi walivyobanwa mbavu?
Binafsi sioni madhara yoyote CDM ikifutwa kwa vile kwanza wamekuwa kikwazo kikubwa sana kwa amani, maendeleo, umoja na mshikamano nchini. Siasa za majungu, kashfa, kuwarubuni watanzania na kuwashawishi wasishiriki katika shughuli za maendeleo ni tatizo kubwa sana linalosababisha CCM isitekeleze ilani ya chama ya kuwaletea wananachi wake maendeleo.
If possibe, let CHADEMA die for the delevelopment of the nation.
\Si katumwa aandike tu unafikiri ni akili yake huyo. Lazima aishie kujikoroga, CDM kweli ni chama cha kukibana mbavu CCM? yaani ukoo wa LISSU, MTEI, OWENYA na SLAA ndiyo ukibane mbavu chama cha Watanzania.
Jaman mchuano wa CHADEMA na CCM sasa umekua mkubwa kiasi cku zinapokaribia 2015 mambo mzito yanaibuka. watu wanatishiwa maisha wengne wanataka wapinzani wao wafutwe na msajili wa vyama, sasa je ikatokea leo chadema ikafutika yenyewe au vingnevo ccm na serikali yake unaipa sura gani kwa jinsi walivyobanwa mbavu?
Kichwa cha habar na habar yenyewe wala haviendani. Hujaeleweka. Rudi teka kajipange upya