Tanganyika na Zanzibar wapi raia wanaishi maisha bora?

enock yusto

JF-Expert Member
May 28, 2014
377
340
Habari zenu ndugu, naleta swali langu kwenu kuna ubishi hapa ambao unalenga moja kwa moja kichwa cha habari hapo juu.

Binafsi sijawahi fika Zanzibar ila nimefahamu mambo mengi kuihusu Zanzibar kupitia masimulizi na makala mbalimbali.

Kuna jamaa yangu hapa tunabishana hata yeye hajawahi fika Zanzibar anadai kwamba Zanzibar kuna maisha mazuri sana kila mtu ana uhakika wa kula milo mitatu awe ana kazi au bila kazi masikini kwa tajiri, pia anadai Zanzibar huduma za kijamii na miundombinu inajtosheleza kama umeme maji hata mitandao ya simu vyote vinapatikana mjini au kijijini.

Pia anadai Zanzibar uwrzekano wa kupata kibarua ukasogeza maisha ni rahisi ukilinganisha na Tanganyika pia amedai kule watu wakalimu na wanaupendo sana kiasi kwamba unaweza funga Safari bila kujua pa kufikia ukampata mtu akakuhifadhi bure.

Yapo mengi sana ayo ni baadhi. Anadai kuishi Zanzibar ni rahisi Sana kuliko Tanganyika.hivyo basi wadau nakaribisha maoni juu ya hili kweli Zanzibar wana maisha bora kuliko huku gap kati ya masikini na tajiri ni dogo et wote wanakutana supermarket na buchani binafsi naona Tanganyika ni habari nyingine kwa Zanzibar.
 
We nawe. Yaani unataka ulinganishe kakisiwa kadogo kale na linchi likubwa kama Tanganyika? Kakisiwa hako kana watu wangapi? Litanganyika nalo je? Are you serious?

Weka kwanza vigezo vya ulinganifu wako zikiwemo data za kiuchumi japo sababu za kijamii, kihistoria na kitamaduni pia zinaweza kuwa na athari.
 
Aliyokueleza ni kweli kabisa mimi naishi huku kisauni kanisani ila mnaotembea uchi msije huku maana mnachafua hali ya hewa muishie huko huko Kariakoo na Posta.
 
We nawe. Yaani unataka ulinganishe kakisiwa kadogo kale na linchi likubwa kama Tanganyika? Kakisiwa hako kana watu wangapi? Litanganyika nalo je? Are you serious?

Weka kwanza vigezo vya ulinganifu wako zikiwemo data za kiuchumi japo sababu za kijamii, kihistoria na kitamaduni pia zinaweza kuwa na athari.
Mi nikiangalia hata rasilimali tunawapita hata ardhi
 
Habari zenu ndugu, naleta swali langu kwenu kuna ubishi hapa ambao unalenga moja kwa moja kichwa cha habari hapo juu.

Binafsi sijawahi fika Zanzibar ila nimefahamu mambo mengi kuihusu Zanzibar kupitia masimulizi na makala mbalimbali.

Kuna jamaa yangu hapa tunabishana hata yeye hajawahi fika Zanzibar anadai kwamba Zanzibar kuna maisha mazuri sana kila mtu ana uhakika wa kula milo mitatu awe ana kazi au bila kazi masikini kwa tajiri, pia anadai Zanzibar huduma za kijamii na miundombinu inajtosheleza kama umeme maji hata mitandao ya simu vyote vinapatikana mjini au kijijini.

Pia anadai Zanzibar uwrzekano wa kupata kibarua ukasogeza maisha ni rahisi ukilinganisha na Tanganyika pia amedai kule watu wakalimu na wanaupendo sana kiasi kwamba unaweza funga Safari bila kujua pa kufikia ukampata mtu akakuhifadhi bure.

Yapo mengi sana ayo ni baadhi. Anadai kuishi Zanzibar ni rahisi Sana kuliko Tanganyika.hivyo basi wadau nakaribisha maoni juu ya hili kweli Zanzibar wana maisha bora kuliko huku gap kati ya masikini na tajiri ni dogo et wote wanakutana supermarket na buchani binafsi naona Tanganyika ni habari nyingine kwa Zanzibar.
Sasa ndugu yangu Zanzibar watakuaje na maisha mazuri wakati unajua kabisa Zanzibar inategemea bajeti ya Tanganyika yaani equal distribution of central economy kwa maana nyingine hela inayopelekwa Zanzibar ni ndogo kuliko inayopelekwa kwenye mikoa mikubwa kama Dar, Arusha, mwanza, mbeya Dodoma na mingine mingi kwa sababu za kimaendeleo kwa kua ni ndogo kuliko mkoa wowote hapa nchini mkuu
 
pia amedai kule watu wakalimu na wanaupendo sana kiasi kwamba unaweza funga Safari bila kujua pa kufikia ukampata mtu akakuhifadhi bure.
Kwa maneno hayo wala hujakosea ukifika mtaa wa Malindi au kuna jamaa anaitwa Kiringo huyu jamaa mkarimu sana. Sema hapo Malindi na huyu Kiringo watakupa ajira ya kuchuma mboga ya Mchicha.:confused:
 
Huyu mleta mada bure kabisa, sasa tukisema kila mtu aanzishe thread humu kwa kila tunavyokutana na mabishano patatosha kweli?
Halafu wote hamjafika znz lakini mnabishana.
Umenikumbusha jamaa yangu mmoja alikuwa anabishana na mwenzake kuwa haiwezekani kwa bus kutoka ubungo terminal saa kumi na mbili asubuhi Mwanza liingie saa tatu usiku.
Huyo jamaa yangu hajafika Mwanza ila alikuwa anambishia nwenzake, nareference ya jamaa yangu alitolea mfano wa mimi ambae siku naenda Mwanza tulikuwa tunawasiliana mpaka kufika Mwanza saa tano usiku kwa hiyo yeye alikariri muda wa kufika ndio huo.
Mpaka wanaachana na mwenzake hawakufikia muafaka.
Siku aliyontafuta tena kuniulizia hilo suala nikamwambia usibishane kwa kitu cha kuambiwa au kusikia kama hujajiridhisha na usahihi wake.
Nilimjibu kuwa sio saa tatu usiku bali hata saa kumi na mbili jioni bus linaweza kuingia mwanzs kutoka DSM
Mimi niliingia muda ule kwa kuwa nilipanda bus LA kichina, ila kama unapata scania na dereva zimefyatuka kidogo Mwanza mapema sana.
 
Kwa maneno hayo wala hujakosea ukifika mtaa wa Malindi au kuna jamaa anaitwa Kiringo huyu jamaa mkarimu sana. Sema hapo Malindi na huyu Kiringo watakupa ajira ya kuchuma mboga ya Mchicha.:confused:
Mboga ya mchicha
 
Sasa ndugu yangu Zanzibar watakuaje na maisha mazuri wakati unajua kabisa Zanzibar inategemea bajeti ya Tanganyika yaani equal distribution of central economy kwa maana nyingine hela inayopelekwa Zanzibar ni ndogo kuliko inayopelekwa kwenye mikoa mikubwa kama Dar, Arusha, mwanza, mbeya Dodoma na mingine mingi kwa sababu za kimaendeleo kwa kua ni ndogo kuliko mkoa wowote hapa nchini mkuu
Mgawanyo wa rasilimali ndg walizonazo kila mtu anafaidi
 
Habari zenu ndugu, naleta swali langu kwenu kuna ubishi hapa ambao unalenga moja kwa moja kichwa cha habari hapo juu.

Binafsi sijawahi fika Zanzibar ila nimefahamu mambo mengi kuihusu Zanzibar kupitia masimulizi na makala mbalimbali.

Kuna jamaa yangu hapa tunabishana hata yeye hajawahi fika Zanzibar anadai kwamba Zanzibar kuna maisha mazuri sana kila mtu ana uhakika wa kula milo mitatu awe ana kazi au bila kazi masikini kwa tajiri, pia anadai Zanzibar huduma za kijamii na miundombinu inajtosheleza kama umeme maji hata mitandao ya simu vyote vinapatikana mjini au kijijini.

Pia anadai Zanzibar uwrzekano wa kupata kibarua ukasogeza maisha ni rahisi ukilinganisha na Tanganyika pia amedai kule watu wakalimu na wanaupendo sana kiasi kwamba unaweza funga Safari bila kujua pa kufikia ukampata mtu akakuhifadhi bure.

Yapo mengi sana ayo ni baadhi. Anadai kuishi Zanzibar ni rahisi Sana kuliko Tanganyika.hivyo basi wadau nakaribisha maoni juu ya hili kweli Zanzibar wana maisha bora kuliko huku gap kati ya masikini na tajiri ni dogo et wote wanakutana supermarket na buchani binafsi naona Tanganyika ni habari nyingine kwa Zanzibar.
Si ukweli hata kidgo wala usidanganyike. Maisha gahli na kuna ubaguzi pia baki tu hukohuko!
 
Back
Top Bottom