BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,515
Kule Kenya LSK wameenadamana mitaa ya Nairobi kupinga kile wanacho dai ni Ruto kutaka kuingilia uhuru wa Mahakama, hii ni baaada ya juzi kati kuwatuhumu Majaji kwamba wanahongwa kukwamisha Serikali.
Sasa hii kwa TLS inawezekana kweli? au Chama kimejaa makada plus Uoga kama walio nao raia wa kawaida tu?
Sasa hii kwa TLS inawezekana kweli? au Chama kimejaa makada plus Uoga kama walio nao raia wa kawaida tu?