Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,257
- 8,775
Hoja mojawapo kubwa kwa upande wa Zanzibar kuhusu Muungano wake na Tanganyika, ni kwamba upande wa pili unautumia Muungano huu kuivua nguvu za kiuchumi Zanzibar kwa makusudi na kwamba hauna nia ya kulisuluhisha hilo.
Msikilize hapa mtaalamu wa uchumi, Juma Duni Haji, kwenye Ajenda ya Zanzibar
Msikilize hapa mtaalamu wa uchumi, Juma Duni Haji, kwenye Ajenda ya Zanzibar