Unachosema ni kweli. Lakini sababu moja ni kuwa nature ya baadhi ya watu walioko kule ni yale mambo ya kukaa kunywa kahawa na kuendekeza utamaduni usio na maana. Kuna tabia ya kuendekeza uvivu. Nadhani watu walioko kama Arusha na Mwanza wangepelekwa kule wangesaidia kuboost maendeleo. I might be wrong, this is just my opinion
Mzee,
Naomba kutofautiana na wewe, hiyo ya kwako ni stereotype na ni mbaya sana..........kuna tatizo Tanga na ukiongea na Tanga insiders watakwambia hasa nini kilichokwenda kombo!!!!. Tanga imeanza kuanguka baada ya kutokuwa tena mji mkuu, marehemu babu yangu alikuwa anamlaumu Nyerere kwa kuua Tanga....mie sina uhakika, lakini hiyo yako hapo juu ni "dhana" na ningekuomba ukatembelee Tanga!!!.
Kwanini Tabora haipo kwenye Top 3 kama ilivyokuwa enzi hizo za Tanganyika?? je pia ni uvivu?. Kwa taarifa yako kuna lawama ktk cycles flani zinatupiwa hasa kwa awamu ya kwanza kwa kusambaratika Tanga, Tabora na Z. Anywayz hii ni story ndefu nitaiachia hapo.
As you can see it is a cross between the traditional with the little thatched kiosk and the modern with the concrete building. I think this may be pretty typical of much of Africa. Although the facilities at Emau Hill are limited - well there arent any, but there is a mobile phone signal which is more than can be said for my home village. So no running water - well unless you count the river, no electricity, no sewage but you can text the world. As you drive towards the city of Dar es Salaam every second billboard by the side of the road is for a mobile provider. There is a two year old report by the BBC which states that 97% of Tanzania has got mobile phone coverage. Fishermen from the island of Zanzibar take their mobiles out with them to check the prices in the markets. If the price is too high in Zanzibar, they sail to Dar es Salaam and sell their catch there.
Hadithi ya Tanga huwa naifananisha kwa MBALI na ile ya Detroit, Cincinatti, Toledo, Cleveland na St Louis combined!!. Yaani ni kusahauliwa, uzembe kwa kiasi flani, sera mbovu za serikali na MUDA. Muda hapo ni kwamba, kadri miaka inavyokwenda ni lazima ziwepo adaptations za kwenda na wakati. Kwa bahati mbaya sana hazikuwepo hasa kwa wenyeji na kwa upande mwingine serikali!!.
Bwana Sahara umenikumbusha sana vile viwanda pale, maana ilikuwa njia yangu enzi nikitembelea Tanga wakti wa likizo. Nilikuwa nafikia Chuda, kuna skuli mate wangu wa high school kwao ilikuwa Kwa-Minchi na family members wengine walikuwa wakiishi Nguvumali.......basi ilikuwa lazima nipite kwenye yale magofu ya viwanda. Kuna siku isiyojua watu nikamwuuliza m-sure, kwani kulikoni ikawa vile?? Majibu nilopata siwezi ku-share hapa!!.....story ya Tanga inasikitisha, lakini kama kuna haja ya ku-vitalize mji basi serikali kuu bado haijachelewa!!. Imagine kwamba bandari ya Tanga ingekuwa imekucha, fikiria nini kingetokea ktk bandari ya MSA?. Utalii, Kilimo hasa matunda na mboga mboga. Mkonge inaeleweka kwamba bei ili anguka kwenye soko la dunia tokana na competition toka kwa synthetic fibers. Lakini jamani ile advantegeous location na natural resources za Tanga including ardhi yenye rutuba na watu wake haviwezi kutumika kwa ajili ya maendeleo ya nchi nzima??. Watu wa Tanga sio wavivu ni very proud na hupenda familia zao, hivyo basi ni wachapa kazi wazuri kama lipo la kufanya!!. Kwani si ni wao watu wa Tanga walioanza kuzurura dunia nzima kutafuta green pastures baada ya kuwa na hakuna la kufanya nyumbani?? Jamani mie sina la kusema, ila awamu ya kwanza ipo responsible kwa kuporomoka kwa Tanga.
Kaka Mzalendo,
Ubaya wenyewe hii thread ipo kwenye jokes/udaku, sasa hapo inabidi kutoichukulia seriously. Ungekuwa mtu wa Tanga au mwenye asili ya Tanga basi unaweza kunielewa kiurahisi sana!!!. Tanga ni kubwa zaidi ya Tanga mjini, so ku-generalize kwamba watu wa Tanga hivi au vile si jambo zuri.
Ukisema kwamba watu wanakaa vijiweni kunywa kahawa, lazima ujiulize ni mida gani hiyo? je ni Tanga peke yake? Huku Magharibi ya mbali ninapoishi pia vijiwe vya kahawa kedekede, ila vina majina tofauti....vingine vinaitwa Dunkin Donuts, Finagle A Bagle, Starbucks, Mike's Coffee, Seattle's Best na kadhalika. Tena vinafunguliwa 5AM na kufungwa 12AM. Utakuta watu hapo kila dakika, wale wanaopiga soga haya, wenye kusoma magazeti wamo, wenye lap tops alkadhalika......lakini hakuna mtu hata mmoja alosema ati "hawa" ni wavivu kwasababu tu wanakunywa kahawa!!!!!!!!.
Tanga hasa pale mjini hakuna la kufanya kwasababu ya sera mbovu za serikali ya Dar es salaam kuanzia ile ya awamu ya kwanza. Viwanda vilikuwapo kibao Tanga, je ni chepiiiiiiiiiiii kilichofungwa ati kwasababu tu hakuna wafanyakaziiiii?? Kuna wale walio thubutu kusema kwamba bandari ya Tanga si dili kwasababu ipo karibu na MSA hivyo biashara si nzuri na bla bla bla!!.....hiyo hapo Tanga, inakusanya kodi Tanganyika second to Darisalama, now what??? Kaka hii story ndefu, lakini muda hakuna .....ipo siku tutaomba kujitoa kwenye jamhuri tuwe kivyetu, halafu wenyewe mtasema kama Wa-Tanga ni wavivu au la (joke)!!!!!. Happy thxgiving man!.