Amanijua
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,776
- 1,632
Wadau hivi majuzi kuna takwimu za TACAIDS zimetolewa kuhusu mahusiano na maambukizi mapya katika mkoa wa Tanga,takwimu hizo zinaonyesha mambo yafuatayo;
1.Asilimia 75 ya wanaume wa Tanga wana wapenzi zaidi ya wawili.
2.Wanaume takribani asilimia 79 wenye umri zaidi ya miaka 50 wamewahi kufanya mapenzi na wanawake zaidi ya 300.
3.Wanawake wa mkoani Tanga wanafanya mapenzi katika wastani mara 5 kwa wiki.
4.Asilimia 69 ya wanawake mkoa wa Tanga wanajihusisha na ANAL SEX yaani kufanya mapenzi kwa njia ya haja kubwa.
5.Na mwisho ni kwamba Tanga ndo mkoa unaongoza kwa wasichana wadogo kujihusisha na mapenzi ie wanaanza kufanya mapenzi katika age ya 10 hadi 11.
SOURCE ; Report ya mwakilishi wa WHO aliyefanya kwa ushirikiano na TACAIDS(2012-2014)!!!
SASA WADAU MI NAOMBA TUJARIBU KUSHARE MAWAZO JUU YA SABABU HASA ZA TAKIMU HIZI,maana binafsi naona hali ni mbaya sana!!!!
1.Asilimia 75 ya wanaume wa Tanga wana wapenzi zaidi ya wawili.
2.Wanaume takribani asilimia 79 wenye umri zaidi ya miaka 50 wamewahi kufanya mapenzi na wanawake zaidi ya 300.
3.Wanawake wa mkoani Tanga wanafanya mapenzi katika wastani mara 5 kwa wiki.
4.Asilimia 69 ya wanawake mkoa wa Tanga wanajihusisha na ANAL SEX yaani kufanya mapenzi kwa njia ya haja kubwa.
5.Na mwisho ni kwamba Tanga ndo mkoa unaongoza kwa wasichana wadogo kujihusisha na mapenzi ie wanaanza kufanya mapenzi katika age ya 10 hadi 11.
SOURCE ; Report ya mwakilishi wa WHO aliyefanya kwa ushirikiano na TACAIDS(2012-2014)!!!
SASA WADAU MI NAOMBA TUJARIBU KUSHARE MAWAZO JUU YA SABABU HASA ZA TAKIMU HIZI,maana binafsi naona hali ni mbaya sana!!!!