Tanga; Mkoa uliokufa

kinawari2

Senior Member
Sep 16, 2016
153
174
Wana great thinkers nimekuja mkoa wa tanga baada ya miaka 18 yaaani niliondoka mkoa huu mwaka 1999 kwenda masomoni Nairobi....

Tanga ni mkoa ambao sio ya kwamba umekufa Bali unazidi kudidimia na kupotea kabisa...Hakuna jitihada zozote nilizozisikia kwenye wimbo wa wagosi wa kaya wakimsifia Captain Mkuchika...

Tanga ni jij pekee ambalo unakuta nyumba ya makuti katikati ya jiji( barabara ya ishirini)

.....

Nina week ya pili sasa na kila baada ya siku tatu mtaani kwetu kunafungwa spika kubwa Sana kusherehekea Harusi... pamoja na maisha kua magumu Sana Vijana wapo fasta Sana kwenye kuoa na kuacha nimeambia ya kwamba ikikarabia mwezi mtukufu Harusi zinakua nying Sana na talaka zinakua nying mwezi mmoja baada ya mwezi mtukufu

#tangajiji#
73a8beb5c731afbd188e568457b9e917.jpg
fc7407226d9a61139178ee802410f1ea.jpg
 
Badala yake, Dodoma ni mkoa unaokuja kwa kasi sana... There is a massive, massive govt support for the region...

Jamaa wanadai kwa nini MAGU ( DEREVA WA LORI) anataka kujenga vi-wonder Dodoma wakati alipokuja Tangamano aliwapa ahadi ya kufufua viwanda vifuatavyo

Kiwanda cha sabuni ya Mbuni
Matunda toka LUSHOTO
Mashamba ya Mkonge
Nk.......?
 
Wana great thinkers nimekuja mkoa wa tanga baada ya miaka 18 yaaani niliondoka mkoa huu mwaka 1999 kwenda masomoni Nairobi....

Tanga ni mkoa ambao sio ya kwamba umekufa Bali unazidi kudidimia na kupotea kabisa...Hakuna jitihada zozote nilizozisikia kwenye wimbo wa wagosi wa kaya wakimsifia Captain Mkuchika...

Tanga ni jij pekee ambalo unakuta nyumba ya makuti katikati ya jiji( barabara ya ishirini)

.....
Hebu tuachie tanga yetu kumekucha hivyo
 
Back
Top Bottom