Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Kwa walioko jijini Tanga, watujuze kwa kiurefu kuhusu coaster ya wanafunzi iliyogonga treni maeneo ya Gofu.
Mtupe taarifa kwa urefu ikiwa ni za uhakika
====
maiyanga1, anasema;
"Ni kweli ajali imetokea, coaster iklikuwa imebeba wanafunzi wanaenda kwenye mpira shule ya Masechu, majeruhi wapo Bombo, hakukuwa na kifo eneo la tukio."
HABARI KAMILI
Mtu mmoja amefariki na wanafunzi 19 kati ya thelathini wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kwenda kucheza mpira kuligonga Treni eneo la Gofu jijini Tanga.
Kamanda wa polisi mkoani Tanga SACP Edward Bukombe amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Mtupe taarifa kwa urefu ikiwa ni za uhakika
====
maiyanga1, anasema;
"Ni kweli ajali imetokea, coaster iklikuwa imebeba wanafunzi wanaenda kwenye mpira shule ya Masechu, majeruhi wapo Bombo, hakukuwa na kifo eneo la tukio."
HABARI KAMILI
Mtu mmoja amefariki na wanafunzi 19 kati ya thelathini wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kwenda kucheza mpira kuligonga Treni eneo la Gofu jijini Tanga.
Kamanda wa polisi mkoani Tanga SACP Edward Bukombe amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.