Panga La Shaba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 209
- 68
Ushaambiwa au kusikia wahenga wakisema ''Tanga Raha''. Ule mtindi wa ngombe kaka wala usiogope. Ndo mambo ya Tanga hayo
Waja Leo waondoka.....
Ushaambiwa au kusikia wahenga wakisema ''Tanga Raha''. Ule mtindi wa ngombe kaka wala usiogope. Ndo mambo ya Tanga hayo
Mambo ya tanga hayo, bado hujala mkate wa kumimina kutoka kwa wakina mama wanaouza usiku maeneo ya bara ya 15, 16 na 17....utabaki tanga wewe
Nilikula chapati kwa mama ntilie Tanga, chapati imekwandwa na nazi, ukifunga inafunguka kama kurasa za kitabu. Ile chapati sijawahi kuiona mahali popote. Chezea Tanga wewe.