Kwanza tangu nimeingia ofisini leo saa 1.30 asbhi hakuna umeme hadi nimetoka saa 10.30 jioni sijafanya chochote. Nimekula mshahara wa bure. Nimefika nyumbani umeme umerudi na kukatika mara 9 tangu saa 11 hadi sasa 1. 20. Prof Muhongo au muongo nakutukana lile tusi alilopewa Mzee Ruksa pale UDSM mwaka uleee.