G'taxi JF-Expert Member Sep 15, 2013 6,565 8,427 Apr 14, 2022 #1 TANESCO jamani, mvua manyunyu tu bila hata upepo mmekata umeme Ifike muda TANESCO ipate mbadala kama ilivyo tokea kwa TTCL. Hii inachosha na kuudhi sana sana
TANESCO jamani, mvua manyunyu tu bila hata upepo mmekata umeme Ifike muda TANESCO ipate mbadala kama ilivyo tokea kwa TTCL. Hii inachosha na kuudhi sana sana
Numbisa JF-Expert Member Dec 12, 2016 268,282 1,096,053 Apr 14, 2022 #3 Wamerudisha walikua wanatest kama switch zinafanya kazi😂😂😂😂
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,211 42,074 Apr 14, 2022 #4 G'taxi said: TANESCO jamani, mvua manyunyu tu bila hata upepo mmekata umeme Ifike muda TANESCO ipate mbadala kama ilivyo tokea kwa TTCL. Hii inachosha na kuudhi sana sana Click to expand... Wewe ni sukuma gang
G'taxi said: TANESCO jamani, mvua manyunyu tu bila hata upepo mmekata umeme Ifike muda TANESCO ipate mbadala kama ilivyo tokea kwa TTCL. Hii inachosha na kuudhi sana sana Click to expand... Wewe ni sukuma gang
N Nyumisi JF-Expert Member Nov 10, 2010 13,405 19,069 Apr 14, 2022 #6 Kuna haya makampuni mawili, TAA SIKO, DAWA SIKO.........majina yake yanasadifu namna yalivyo.