Lubebenamawe
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 1,952
- 2,194
Pengine ulikuwa na deni la service charge kwa mwezi march kabla ya kuondolewa.
Vigezo vya tarrifs ni vipi tafadhaliMkuu bei ya umeme imeshuka ila inategemea upo kwenye tarrif ipi kama upo tarrif 4 unit 75 za kwanza kila mwezi utauziwa kwa sh 100 na zikizidi hapo utauziwa kwa 350 yani kuanzia unit ya 76 na kuendelea kwa aliye ktk tarrif 1 yeye atapata unit moja kwa sh 292
Hiyo receipt unayonunulia umeme hapo chini kabisa imeandikwa tariff numberUnajuaje uko kwenye tarrif namba fulani?