TANESCO yatoa ufafanuzi juu ya ombi la kushusha bei ya umeme kwa EWURA

Mkuu bei ya umeme imeshuka ila inategemea upo kwenye tarrif ipi kama upo tarrif 4 unit 75 za kwanza kila mwezi utauziwa kwa sh 100 na zikizidi hapo utauziwa kwa 350 yani kuanzia unit ya 76 na kuendelea kwa aliye ktk tarrif 1 yeye atapata unit moja kwa sh 292
Vigezo vya tarrifs ni vipi tafadhali
 
Back
Top Bottom