ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,115
- 49,839
Hiyo ndio taarifa kutoka Tanesco,msije kusema hamkuambiwa.
Naendelea kuwakumbusha mnaoshangaa,hiyo sio Kauli Mpya kutoka Kwa Tanesco
Naendelea kuwakumbusha mnaoshangaa,hiyo sio Kauli Mpya kutoka Kwa Tanesco
Maharage Chande: Si busara kushusha bei ya umeme
kutoka katika gazeti la mwananchi: Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Maharage Chande amesema hadhani kama ni busara kushusha bei ya umeme baada ya mradi wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) kuanza uzalishaji. Chande amebainisha hayo leo Mei 26, 2023 wakati akijibu...
www.jamiiforums.com