Nahisi zoezi hili linahamasishwa na ujio wa Dk. Hon. President inapendeza sana..
Mhe uncle Mramba, ni zoezi zuri sana na lengo ni kuongeza Pato la Tanesco wale wanaokamatwa wakalipe lakini nakuhakikishia kinachoendelea Kariakoo, Magomeni na Kinondoni ni biashara tupu
Mhe. Mwenye nyumba anapigiwa anambiwa njoo ukalipe milioni mbili Makao Makuu, else njoo utupe nusu tunakufungia na mita mpya.
Wapendwa michezo hii iko na watu wa Gongo la Mboto sana tu. Shabani, Hamad na wengineo wanajua wanachowafanyaga watu. Michael Rafael, huyu ndio kiongozi wa hizi bussiness.
Muwe makini, mnaweza kuwa na nia ya kuongeza mapato zoezi likawa linawanufaisha watu
mifukoni.
Nawambieni kuna group likiondoka asubuhi likipita nyumba kumi na tano hawakosi mil kumi mpaka tisa na hizo ni zao..
Tunaomba muwasimamie wanaofanya zoezi hili na kuhakikisha hakuna utapeli. Anakamatwa mtu analipa faini..