TANESCO yatangaza Kiama

TANESCO yatangaza Kiama

Bora muje huku mtaani kwangu tupambane muraa maana mmeniunguzia vifaa vyangu sana katika zima-wacha yenu kira mara ....nami natangaza vita muraa

Na hiyo id yako inaendana kabisa na ulichokiandika 😅😂😃😆
 
huku wazohill juzi usiku lori la tanesco limekuja mtaani wakafungua kitu fulani kina umbo kama mtungi wa gesi tulipowahoji wakadai wanakuja kufunga lingine baadae, ila hadi leo hawajarudi, taarifa zinadai kile kilikua kifaa maalumu kwaajiri ya kuiba umeme ila kutokana na hali ya sasa imebidi kukitoa ili kuepusha dhahama!
 
Mkuu mbona umeandika kama toinyo au kibogoyo , wenda ndio kusema una upungufu
wa meno kinywani mwako, ..?
Siku nyingine jifunze kuandika kama "Senior Expert Member wa JF".
Kwani kwa namna ulivyoandika hapo inaonesha hata mwandiko
wako wa mkono ni mbaya sana "una hati ya bata".

Nahisi zoezi hili linahamasishwa na ujio wa dk hon president inapendeza sana

mh uncle.mramba.n.zoezi zuri.sana na.lengo n kuongeza patola tanesco wale wanaokamatwa.wakalipe..lakini nakuhakikishia kinachoendelea.kariakoo magomeni na kinondoni n biashara tupu

mh mwenye.nyumba.anapigiwa.anambiwa njo ukalipe.milion mbili hq else njoo utupe nusu tunakufungia na mita mpya

wapendwa.mchezo hii iko na watu wa gongola.mboto sana tu shabani..hamad na wengineo wanajua wanachowafanyaga watu michael rafael huyu ndio kiongozi wa hizi bussiness

muwemakini mnaweza kuwa.na.nia ya kuongeza mapato zoezi likawa linawanufaisha watu
mifukoni

nawambieni kuna grp likiondoka asbh likipita nyumba kumi na tano awakosi mil kumi mpaka tisa na hizo n zao...tunaomba muwasimamie wanaofanya zoezi hili na kuhakikisha akuna utapeli anakamatwa.mtu analipa faini..
 
Mkuu PDidy, katika utawala huu nimejifunza jambo,
ukicheza dili na serikali ujue imekula kwako. jifikirie mtu aliyepitsha kontena kwa rushwa ya 5m ili asilipe 40m leo hii anatakiwa alipe yote 40m huoni kama amepoteza?
hao jamaa washauri wakalipe zote tanescola tu maana yakija kufumuka watalipa zote na faini juu wakati hapo wamelipishwa nusu
 
Mr. Mramba, Kama ni wafanyakazi wako wanahujumu shirika weye sema usiogope. Hii kata, washa mnavyopenda, inakukumba weye kweli?? Toeni basi kataarifa kidogo. Ni aibu na fedheha kwa Tanesco ltd. Shirika kongwe kuliko shirika jingine lolote lililo hai hapa Tz.
Maji ya bureeeee, nguzo ni miti tunapanda wenyewe halafu mnawaza kuthibiti wadokozi wa wats badala ya hayo makilowati yanayo potelea hewani kwa kushindwa kuyatumia.
Ni aibu, tz kukatikiwa umeme kila saa. Hakuna siku itapita salama. Tumeshindwa hata kubajeti vyakula kwa sababu vingi tunamwaga kwa kuharibika.
Badala ya woote kuhama ofisi kukimbilia mitaani kusaka mita mbovu, gawaneni kazi wengine mjifungie mahali mkifanya kautafiti muondoe hii kadhia ya washa, zima, washa, kata. Mmetumalizia vyombo majumbani.
Nasikia ati unaitwa Injinia Mramba, uliupataje huo uinjinia kama hata kaubunifu huna?
 
Back
Top Bottom