TANESCO yacharuka! Hamisha hamisha yaanza

TANESCO yacharuka! Hamisha hamisha yaanza

Hiyo ishu ya mabwawa hata Ewura wanahusika. Ngoma ilianzia Symbion ndio waliowashawishi maofisa wa Tanesco na Ewura.. Ili ionekane umeme umepungua jamaa wawashe mitambo ya Gesi waanze kupiga pesa
Hivi watu wanaohujumu taifa kwa style Kama hiyo ya kufungulia maji ni kwanini wasinyongwe tu?!
 
Sijaawahi kuona wafanyakazi wa ajabu kama wa Tanesco. Tatizo liko kielimu zaidi na wasipotatua hili watendelea kuwa maboya. Kijana akishajua umeme hawamfundishi kitu kingine hususan cusomer care, management principles, economics ujasiriamali n.k kwa hiyo utakuta wanajiendesha mechanically kama mabuldoza. Utashangaa wana kazi ya kufunga line lakini wataingia site saa tano. Hopeless kabisa hawa majamaa.
 
Unahamisha tatizo kupeleka sehemu nyingine.fukuza tatizo leta solution.
 
Tuliwaambia wajipange kabla mh hajapita,tena kawahurumia sana,mpaka sasa hajaenda
 
Hakuna anayekwenda kuhamishwa kama umevurunda unakwenda kupigwa chini tuu hakuna mbadala wake ndugu zangu
 
Kuna uyu wa Nyakato Mwanza Asee ni shida sana yn hamna siku umeme haujakatika Eneo la national..
 
Yupo wapi Eng John Bandie tafadhari mkurugenzi mrudishe mbeya.
 
Sijaawahi kuona wafanyakazi wa ajabu kama wa Tanesco. Tatizo liko kielimu zaidi na wasipotatua hili watendelea kuwa maboya. Kijana akishajua umeme hawamfundishi kitu kingine hususan cusomer care, management principles, economics ujasiriamali n.k kwa hiyo utakuta wanajiendesha mechanically kama mabuldoza. Utashangaa wana kazi ya kufunga line lakini wataingia site saa tano. Hopeless kabisa hawa majamaa.

Mkuu umeongea kweli tupu. Wafantakazi wa Tanesco karibia wote ni zero customer care. Jamaa hawajui kumuelimisha mteja, hawajui kumuelekeza wanachojua ni kibri, dharau majivuno tu. Mi siku hizi nikiwa na tatizo huwa hata ofisini kwao siendi, namkodi mtu yoyote ndo aende maana unaweza "kuwaditopile". Hovyo kabisa hawa watu, kuliko shirika lolote nchi hii.
 
Hiyo ishu ya mabwawa hata Ewura wanahusika. Ngoma ilianzia Symbion ndio waliowashawishi maofisa wa Tanesco na Ewura.. Ili ionekane umeme umepungua jamaa wawashe mitambo ya Gesi waanze kupiga pesa

nigusie kidogo kuhusu tuhuma za kufungua maji kwenye bwawa la mtera yaishe nianze kwakusema ni kweli alichosema mh rais ila sio laisi kujua alikuwa ana maana gani ni HV binasfi Mimi Nina zaidi ya miaka30 kama mvuvi kwenye bwawa hili tangu Mwl nyerere analizindua namna wazungu walivyolijenga kuna alama ambazo mita za ujazo zikifika huwezi tena kulitumia kwa kuzalisha umeme hivyo unasubili mpaka mvua zinyeshe kidogo unaendelea na matumizi cha kushangaza safari hii maji yametembezwa mpaka rangi ya udongo inaonekana kwenye maji hivyo mpaka bwawa lijae sio Leo wala kesho wale wazee wakupiga dili sasa ndio watawauzia mafuta tanesco mpka wakinai wenyewe sasa swali kwanini waliona umuhimu wakufungua maji yapite zaidi ya vipimo vilivyowekwa? ila angalizo meneja wa mtera na wafanyakazi hasa oparetors hawahusiki hata kidogo kwani wao wapo kama remote tu hawaruhusiwi kufanya lolote mpaka makao makuu hata kutembelea mgodi wa kuzalisha umeme ni lazima kibali kitoke makao makuu.
 
Kwenye jukwa La Kampeni za Uchaguzi Mkuu alitanabaisha kuna mafundi mchundo pale Mteru wanafungulia lulenga ovyo iende tu baharini. Huku wajanja wanapiga deal. Kama nyenye / ndonya imekuwepo ya kutosha toka 1994 na imeingia bwawani ya kutosha kwanini nishati isipatikane?
 
Kwenye jukwa La Kampeni za Uchaguzi Mkuu alitanabaisha kuna mafundi mchundo pale Mteru wanafungulia lulenga ovyo iende tu baharini. Huku wajanja wanapiga deal. Kama nyenye / ndonya imekuwepo ya kutosha toka 1994 na imeingia bwawani ya kutosha kwanini nishati isipatikane?
hakuna siku ambayo maji yamefunguliwa yapite tu bila kazi iko HV pale kuna njia mbili za kupitisha maji ili yaelekee kidatu-rufiji mpaka baharini,1 njia kupitia milango ya daraja ambayo IPO 5 mikubwa na mmoja Mdogo,2 hii njia ya pili ndio inayotumika kupitishia maji ili kuzungusha tabani za kuzalisha umeme ambayo sasa ndio IPO kwenye mjadala mzito lakini tatizo lingine kubwa ambalo linamaliza maji kwa wingi ni kilimo cha umwagiliaji kule Mbeya kuna mifereji mikubwa imechepushwa kwa ajili ya mashamba makubwa ya mpunga kipindi waziri mwandosya akiwa ofisi ya makamu rais mazingira alikwenda kuziba ile mifereji maji yalijaa kwa wiki4 tu labda magufuri akaanzie kule bwawa litajaa mapema japo mashamba nasikia niyawakubwa.
 
hakuna siku ambayo maji yamefunguliwa yapite tu bila kazi iko HV pale kuna njia mbili za kupitisha maji ili yaelekee kidatu-rufiji mpaka baharini,1 njia kupitia milango ya daraja ambayo IPO 5 mikubwa na mmoja Mdogo,2 hii njia ya pili ndio inayotumika kupitishia maji ili kuzungusha tabani za kuzalisha umeme ambayo sasa ndio IPO kwenye mjadala mzito lakini tatizo lingine kubwa ambalo linamaliza maji kwa wingi ni kilimo cha umwagiliaji kule Mbeya kuna mifereji mikubwa imechepushwa kwa ajili ya mashamba makubwa ya mpunga kipindi waziri mwandosya akiwa ofisi ya makamu rais mazingira alikwenda kuziba ile mifereji maji yalijaa kwa wiki4 tu labda magufuri akaanzie kule bwawa litajaa mapema japo mashamba nasikia niyawakubwa.
Mkuu, hoja yako ina mashiko ila, Tunahitaji wataalamu wa nje/ independent hydrologist kuchunguza flow mita za kabla maji kuingia Mtera, levels at dam, bypass, flow downstream before Kidatu na correlation ya before Kidatu na downsteam, Hili litaondoa kiwingu na kuipa haki TANESCO. Pia weKeni CCTV cameras kumonitor water gates. Mashamba ya mpunga mengi upstream yamedoda, uzalushaji mdogo na bado umeme tabu.
 
Sina hamu nao mm baada ya kutumikia mda mrefu kama kibarua ajira zikija wanapata wengine kisa kukosa mambo flan
 
Huyo mdudu ni hatari hafai, nashangaa anahamishwa badala ya kuwekwa kando achunguzwe

Aisee hawa jamaa ovyo sana...

Huduma kupatiwa utafkr mtoto wa uswazi unataka kuposa toto la Kishua la Masaki....

Mahali Km 5 tu ndani a Manispaa kutoka zilipo ofisi zao hakuna hata nguzo za umeme na juhudi hakuna....uozo, uozo, uozooooo

Huyu si wa kuhamisha....ni demotion awe hata mfagizi
 
Ndio tatizo la uongozi wa tz mtu anaharibu eti unamhamisha, kwahiyo wakaharibu na huko???
 
Back
Top Bottom