johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
TANESCO wakata umeme Karimjee wakati shughuli ya msiba wa Mzee Lowassa ikiendelea
Weka na PichaKupitia ukurasa wake wa X mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema mh Sugu amelalamikia kitendo cha Umeme kukatika wakiwa Kwenye Shughuli za kumuaga hayati Lowasa
Walifuata umeme au kuaga?Kupitia ukurasa wake wa X mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema mh Sugu amelalamikia kitendo cha Umeme kukatika wakiwa Kwenye Shughuli za kumuaga hayati Lowasa
Ya Umeme au ya Sugu?Weka na Picha
Wamepata topic ya kusikika.Walifuata umeme au kuaga?
Afla nzito gani hata umeme uogope kukatika? Weee vipi?Naona TANESCO wameamua kujitoa ufahamu kwa njia ambayo wao wenyewe wanaona inafaa. Yaani wizara yenye kuongozwa na Naibu Waziri Mkuu inashindwa hata kufunika kombe mwanaharamu apite katika hafla nzito na yenye ugeni mzito kama hii!?
Siku nyingine usirudie kuandika Mhe Sugu ni mjumbe wa kamati kuu ya chadema...au huwa unajitoa ufahamu???Kupitia ukurasa wake wa X mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema mh Sugu amelalamikia kitendo cha Umeme kukatika wakiwa Kwenye Shughuli za kumuaga hayati Lowasa
Mchana huu kuaga kwani marehemu aliacha wosia kuwa siku wakimuaga mchana Tanesco ihakikishe umeme upo Wakati Mwanga upo wa jua?Sugu hatakiwi kushangaa kwa hilo, mbona tumeshazoea umeme hukatika mara nyingi majumbani na maofisini kila kisu, kilichotokea hapo msibani ndio kina akisi maisha yetu ya kila siku na Tanesco.
Kama umeme usingekatika hapo msibani mimi ndio ningeshangaa.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
๐๐๐๐๐๐๐๐๐TANESCO ndo walio na nguvu za giza!
Ufipa st ๐Wamepata topic ya kusikika.
Inawezekana ni hitilafu ya pale ukumbini tuTANESCO ndo walio na nguvu za giza!
Hao 'wakale' usiwalinganishe na sasa unawaonea.Tanesco, haya mambo waliaza mda mrefu sana. View attachment 2902801
TANESCO kateni Umeme ARUSHA nzima mpaka Mzee wetu atakapozikwa ikiwa ni njia sahihi ya Kumkumbusha skendo aliyotupiga ya RICHMOND tukawa tunalipa Mabilioni hewa kwenye mifuko ya MAFISADI.TANESCO wakata umeme Karimjee wakati shughuli ya msiba wa Mzee Lowassa ikiendelea
Chadema bhanaTANESCO kateni Umeme ARUSHA nzima mpaka Mzee wetu atakapozikwa ikiwa ni njia sahihi ya Kumkumbusha skendo aliyotupiga ya RICHMOND tukawa tunalipa Mabilioni hewa kwenye mifuko ya MAFISADI.
Hongera TANESCO kwa salute mliyompa muasisi wa kukatisha maji kwenye mabwawa ili majenereta yafanyekazi.