Tanesco tatizo ni nini?

Tanesco tatizo ni nini?

mtwevejoe

Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
69
Reaction score
15
Tangu mwaka jana mwezi wa 9, nimemaliza michakato ya kulipia Gharama za kuunganishiwa umeme lakini mpaka leo hii trh 25/04 mbona kimya? nyumba yenyewe nimejenga kwa shida mpaka hapa nilipofikia ingawa haijaisha,na vilevile hela ambayo nimewalipeni nilikopa kwa mtu na mpaka nimemaliza kulipa deni lenyewe UMeme hakuna tatizo nini? nishachukia nirudishieni hela yangu basiiiiiii!
 
Tangu mwaka jana mwezi wa 9, nimemaliza michakato ya kulipia Gharama za kuunganishiwa umeme lakini mpaka leo hii trh 25/04 mbona kimya? nyumba yenyewe nimejenga kwa shida mpaka hapa nilipofikia ingawa haijaisha,na vilevile hela ambayo nimewalipeni nilikopa kwa mtu na mpaka nimemaliza kulipa deni lenyewe UMeme hakuna tatizo nini? nishachukia nirudishieni hela yangu basiiiiiii!
pole ndugu hawa jamaa ndio walivyo hao
 
Back
Top Bottom