mkandaboy
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 256
- 88
Waziri wa Nishati (le Professeur - SOS-Peter Muhongo) balisema kuwa hakutakuwa na mgao wa umeme...!
...Hapo kwenye red ingependeza pakawa hivi Muongo (lier)
Waziri wa Nishati (le Professeur - SOS-Peter Muhongo) balisema kuwa hakutakuwa na mgao wa umeme...!
naomba kuuliza wataalamu wa mambo ya mafuta...
Bilioni 1.5 ni sawa na lita ngapi ya mafuta mazito?
Na mitambo inatumia lita ngapi kwa saa?
Huu ni wendawazimu...maana tanesco lingekuwa ni shirika kama atcl au kiwanda cha uma lingeshakufa zamani sana...hiyo hela wanayotaka kupandisha leo baada ya mwaka watasema haitoshi...iko wapi mipango???
Hapo ilionekana wanataka tu kufikia bilioni 5.2, ukichunguza kwa undan gharama hizo za tanesco utakuta zinahusisha mi 10% ya wakubwa wengi sana. Mimi nadhanifike sehem tuseme tu inatosha, tuvute handbreak na kwenye gari tushuke tukae chini!!!(((IPTL megawati 100 = shilingi bilioni 1.4 kwa siku) (+) (Symbion megawati 160 = shilingi bilioni 1.5 kwa siku) (+) (Agreko megawati 100 = shilingi bilioni 1.5 kwa siku ))) = Gharama zote kwa siku ni shilingi bilioni 5.2 (????????)
Tell me this' a joke or some typing errors!
Can't be... Siamini, nadhani kuna makosa sehemu