TANESCO Songea yakithiri kwa ubabaishaji

TANESCO Songea yakithiri kwa ubabaishaji

kungurumanga

Senior Member
Joined
Sep 4, 2015
Posts
175
Reaction score
44
Takribani ni miaka kumi na tano nipo Songea kila kukicha tatizo la umeme lipo palepale. Ahadi za viongozi wa CCM kutusaidia zimekuwepo wakati wa kampeni tu. Mafundi wa TANESCO kila siku kukata umeme. Serikali mpya ijayo ifanye uchunguzi wa matumizi ya mafuta huwenda yanauzwa mitaani huku migao ya kudumu isiyo na ratiba ikishamiri mitaani, kama imeshindikana nchi kubwa mno igaweni tu.
 
Ccm! Oyeee! Mkiambiwa mfanye mabadiliko hamtaki! Sasa mtakuwa mnapata umeme mara moja kwa mwezi. Nguvu nyingi tunaelekeza sehemu zenye upinzani ili tupate wanachama wapya wa ccm! Songea tayari ni ngome yetu hata mkikosa umeme hamna shida nyie ni wetu!
 
Back
Top Bottom