TANESCO Salary

TANESCO Salary

Maengineer tanesco wako wengi na vitengo tofauti your too general kuna my control engineer anakula mia sita napoittano take home so be specific which kind of engineer
 
Maengineer tanesco wako wengi na vitengo tofauti your too general kuna my control engineer anakula mia sita napoittano take home so be specific which kind of engineer

wacha uongo ww kama hujui kaa kimya kwanza wapi ulickia kuna control engineer?
 
Naomba kwa anaejua salary ya Engineer TANESCO anijuze
kama ni fresh kutoka chuo ni 1.2 baada ya rotation ya miezi sita kutoka engineer trainee kuwa engineer 1 unakula 1.6 gross, katika watu wanaofaidi maisha kwa tanesco ni idara ya engineering, karibu!
 

[TD="class: xl63, width: 317"]hizo ni ndio range za engineer wa tanesco based ya katafiti kadogo nilichofanya..
ENGINEER TRAINEE-huyu ana range kati ya mia 700-850 basic
[/TD]

[TD="class: xl64"]ENGINEER 1-800-1000
[/TD]

[TD="class: xl64"]ENGINEER 2-1000-1500
[/TD]

[TD="class: xl64"]SENIOR ENGINEER-1500-2000
[/TD]

[TD="class: xl65"]PRINCIPLE ENGINEER-2000-3000
[/TD]
be informed...

HUU NI USHAURI HASA KWA GRADUATE .. TENA KWA WAHANDISI WENZANGU NAOMBENI MJITAHIDI SANA KUTAFUTA UJUZI NA UZOEFU KWA NAMNA YEYOTE MSHAHARA WA 500 ABOVE KWA KUANZA NI VYEMA... ILA MUHIMU ANGALIA UNAJIFUNZA NI NINI ITS WORTH BAADAE hutajuta.. kuna fursa nyingi ukiwa na ujuzi na uzoefu ...naona mnakaza sana na habari za mishahara minajua mishahara ya bongo ni midogo sana na regulations hakuna kwa uzoefu wangu kwenye GAME ... ukitaka mshahara mkubwa JUA unachofanya ....basi hapo utamuweza mwaajiri...jambo jingine fikiria kujiajiri mapema ... pindi unapopata ajira..ajira iwe sehemu ya ujuzi ,uzoefu, networking exposure na mambo mengine.. ila lengo kujiajiari na kujitegemea
asante
 
Mkuu IT department na computer engineer take home 1.8 salary karibu tanesco tunaangaza maisha
 
ahahahahah naona umemwumbua jamaa mi najuaga kuna control room operator

msibishanie upumbavu kama hujui kitu....TANESICO NI SHIRIKA LENYE ENGINEERS WENGI HADI MAENEO USIYOZANIA..,
Wapi umewah sikia kuna customer service engineer? Mbona tanesco customer care inaongozwa na ma engineers, so hata hyo ya control ni kweli
 
Engineer tanesco analamba take home 800 huyo ni fresh from xul ila ukipata kitengo cha safari mshahara haugusi.
 
msibishanie upumbavu kama hujui kitu....TANESICO NI SHIRIKA LENYE ENGINEERS WENGI HADI MAENEO USIYOZANIA..,
Wapi umewah sikia kuna customer service engineer? Mbona tanesco customer care inaongozwa na ma engineers, so hata hyo ya control
anaitwa operations engineer na siyo control engineer, na pia hiyo ya customers service engineer ilikuwepo enzi za mwalimu cku hizi nafasi zao zimechukuliwa na Custumer Relations Officers na hawa ni watu wa marketing!
 
Back
Top Bottom