Issue kama hizi ndiyo zinatakiwa kuwa campaign issues. Lakini sisi bongo tunakimbialia kuangalia TOT na Bongo Flava.[/QUOTE]
Mkuu umeandika kifupi sana lakini ujumbe utakaa milele!
Yaani kama watanzania wengi wangeweza kufikiri na kuwabana wagombea maswali ya maana kuhusu masuala kama haya! nadhani tungeendelea haraka sana.
Mfano! Umeme/Sustainable Energy siyo huu unakatika mara kumi kwa siku, Elimu/Walimu wajivunie kazi yao siyo sasa hata heshima ya taaluma haipo, Makazi bora, Miundo mbinu safi, Uzalishaji viwandani, Masuala ya uchumi namna gani tutatoka kwenye small scale industry kwenda kwenye Heavy Manufacturing Industry na itatuchukua muda gani. Lakini hapa tunahangaika na Processing Industries miaka nenda rudi nayo ni hovyo.
Namna ya kuanzisha business centre ambazo zitajuisha kila kitu kama Electrincs Products, Mama ntilie, nk yaani maeneo maalumu na yawe mengi siyo haya ya vibopa kama mlimani city unauliza bei juu.