fidelity
Member
- Apr 22, 2012
- 91
- 12
Tabia hii mbaya imekua kama mazoea sasa.
Mitaa ya MALIMBE na maeneo yote ya chuo kikuu cha SAUT hukatiwa umeme kila siku kuanzia asubuhi sana mpaka jioni ya saa 12 bila taarifa yoyote.
Tunashindwa kuelewa shida ni nini? kuna mgao?, kuna matengenezo?, ama ni interest tu za watu wachache kuharibu nchi?
wanachuo wapo kwny mitihani, cku hizi wanasoma kwa digital, stationaries hazifanyi kazi, library pamenuna vipi TANESCO?
HII NI TABIA MBAYA NA KUNA WATU WANATAKIWA WAWAJIBIKE KWA HILI, HIZI NI SALAMU ZA MWANZO KWA WATENDAJI WA TANESCO MWANZA.
Mitaa ya MALIMBE na maeneo yote ya chuo kikuu cha SAUT hukatiwa umeme kila siku kuanzia asubuhi sana mpaka jioni ya saa 12 bila taarifa yoyote.
Tunashindwa kuelewa shida ni nini? kuna mgao?, kuna matengenezo?, ama ni interest tu za watu wachache kuharibu nchi?
wanachuo wapo kwny mitihani, cku hizi wanasoma kwa digital, stationaries hazifanyi kazi, library pamenuna vipi TANESCO?
HII NI TABIA MBAYA NA KUNA WATU WANATAKIWA WAWAJIBIKE KWA HILI, HIZI NI SALAMU ZA MWANZO KWA WATENDAJI WA TANESCO MWANZA.