TANESCO Muleba mnamuangusha Rais Magufuli

Kankra

JF-Expert Member
Dec 23, 2015
203
140
*TANESCO NA REA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA MNAMUANGUSHA MH.RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI*.
.
TRANSFORMER ILIYOPIGWA NA RADI MIEZI KARIBU MIWILI KATA KAGOMA ILITAKIWA KUWA IMEREJESHWA.

Ni miezi takriban miwili sasa Wananchi wa Kata Kikuku na Kagoma wapo Gizani kwa kukosa huduma ya UMEME na kupelekea kuanza kuichukia serikali kwa sababu ya watu wachache wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao.
.
Ifahamike kuwa Kagoma ni miongoni mwa vijiji ambavyo vilianza kunufaika na mradi wa REA wa awamu ya Kwanza na zaidi huduma hii imewafikia wakazi wengi chini ya Uongozi mahiri wa Dr.John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
.
Juhudi hizi zimeungwa sana mkono na Mbunge wa MULEBA KASKAZINI Ndg.Charles Mwijage kwa kiwango kikubwa ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
.
WANANCHI sasa wanajiuliza kama Serikali hii iliyoamua kuwaletea maendeleo sasa kupitia TANESCO/REA wilaya ya MULEBA imeamua kuwaweka gizani ambako hawakuwahi kuwaza kurejea leo wala kesho kwani wanatambua upo uongozi makini unaowajali na kuwapatia huduma stahiki.
.
WITO wangu kwa Uongozi wa Wilaya ya MULEBA ni kuona ni namna gani bora wanaweza kufanya ili kuwaondoa gizani watu wa kata KAGOMA. Najua utendaji bora wa Mh.Mkuu wa Wilaya ya MULEBA na ni matumaini yangu hili atalisimamia kwa nguvu zote.
.
Mbunge wetu Charles Mwijage,Diwani wetu Chrisant Kamugisha,Meneja wa TANESCO WILAYA pamoja na uongozi wa Chama Cha Mapinduzi WIlaya ya MULEBA chini ya Mwenyekiti Shupavu ATHUMAN KAHARA mnatakiwa kuwarudisha wananchi wetu katika Imani ya kuona miradi mingi iliyowapa nafuu ya Maisha chini ya uongozi wa Rais wetu mpendwa Dr.JPM inaendelea kuwanufaisha na kuwaondoa kwenye lindi la UMASKINI.
.
Kama Upatikanaji wa TRANSFORMER Mpya umekuwa kikwazo tunaomba mtufahamishe wadau wa Maendeleo kata KAGOMA tujue namna bora ya kuipata na kuwapatia ili muifunge kwa maslahi mapana ya wananchi wa Kagoma.

NAWATAKIA KAZI NJEMA.

Omary Rwakyaya
0769010369
TARIME
#MulebaNiYetuSote
#UmemeKagomakwetu
 
Mwambie ajenge lami kutoka mleba mpaka Nshanba aache roho ya kwa nini!
 
*TANESCO NA REA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA MNAMUANGUSHA MH.RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI*.
.
TRANSFORMER ILIYOPIGWA NA RADI MIEZI KARIBU MIWILI KATA KAGOMA ILITAKIWA KUWA IMEREJESHWA.

Ni miezi takriban miwili sasa Wananchi wa Kata Kikuku na Kagoma wapo Gizani kwa kukosa huduma ya UMEME na kupelekea kuanza kuichukia serikali kwa sababu ya watu wachache wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao.
.
Ifahamike kuwa Kagoma ni miongoni mwa vijiji ambavyo vilianza kunufaika na mradi wa REA wa awamu ya Kwanza na zaidi huduma hii imewafikia wakazi wengi chini ya Uongozi mahiri wa Dr.John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
.
Juhudi hizi zimeungwa sana mkono na Mbunge wa MULEBA KASKAZINI Ndg.Charles Mwijage kwa kiwango kikubwa ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
.
WANANCHI sasa wanajiuliza kama Serikali hii iliyoamua kuwaletea maendeleo sasa kupitia TANESCO/REA wilaya ya MULEBA imeamua kuwaweka gizani ambako hawakuwahi kuwaza kurejea leo wala kesho kwani wanatambua upo uongozi makini unaowajali na kuwapatia huduma stahiki.
.
WITO wangu kwa Uongozi wa Wilaya ya MULEBA ni kuona ni namna gani bora wanaweza kufanya ili kuwaondoa gizani watu wa kata KAGOMA. Najua utendaji bora wa Mh.Mkuu wa Wilaya ya MULEBA na ni matumaini yangu hili atalisimamia kwa nguvu zote.
.
Mbunge wetu Charles Mwijage,Diwani wetu Chrisant Kamugisha,Meneja wa TANESCO WILAYA pamoja na uongozi wa Chama Cha Mapinduzi WIlaya ya MULEBA chini ya Mwenyekiti Shupavu ATHUMAN KAHARA mnatakiwa kuwarudisha wananchi wetu katika Imani ya kuona miradi mingi iliyowapa nafuu ya Maisha chini ya uongozi wa Rais wetu mpendwa Dr.JPM inaendelea kuwanufaisha na kuwaondoa kwenye lindi la UMASKINI.
.
Kama Upatikanaji wa TRANSFORMER Mpya umekuwa kikwazo tunaomba mtufahamishe wadau wa Maendeleo kata KAGOMA tujue namna bora ya kuipata na kuwapatia ili muifunge kwa maslahi mapana ya wananchi wa Kagoma.

NAWATAKIA KAZI NJEMA.

Omary Rwakyaya
0769010369
TARIME
#MulebaNiYetuSote
#UmemeKagomakwetu
Mwenyekiti wa bodi ya Tanesco na waziri wa nishati ninaomba kukujulisha kuwa mkurugenzi waTanesco Tanzania ana matatizo kwenye utendaji wake especially kupitishwa miradi ya umeme mikoani.unakuta mameneja wa Tanesco mikoani wametuma bajeti za miradi mipya ya kusambaa umeme mikoani kwa wateja, mkurugenzi mkuu wa tanesco anakalia miradi hiyo kwa zaidi ya mwaka mzima bila utekelezaji kuipitisha ifanyike au kutuma fedha ili miradi ufanyike.Hili tatizo limeendelea kuwa kubwa sana haswa kwa mikoa ya Kanda ya ziwa ambsjo maeneo mengi hayajawahi kupata nishati ya umeme tangu nchi ipate uhuru.ombi tunamuomba mkurugenzi mkuu wa tanesco apitishe miradi iliyotumwa kwake na meneja wa Tanesco mikoa na ipo mezani kwake ili utekelezaji wa miradi hiyo uweze kufanyika kwa wakati .Tunatarajia atasikia kilio hiki ili siku ya kupiga Kura October 28,wananchi wasipigie kura gizani kwani Mh Rais Alisha toa ahadi ya kila mtanzania kupata nishati ya umeme.
 
*TANESCO NA REA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA MNAMUANGUSHA MH.RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI*.
.
TRANSFORMER ILIYOPIGWA NA RADI MIEZI KARIBU MIWILI KATA KAGOMA ILITAKIWA KUWA IMEREJESHWA.

Ni miezi takriban miwili sasa Wananchi wa Kata Kikuku na Kagoma wapo Gizani kwa kukosa huduma ya UMEME na kupelekea kuanza kuichukia serikali kwa sababu ya watu wachache wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao.
.
Ifahamike kuwa Kagoma ni miongoni mwa vijiji ambavyo vilianza kunufaika na mradi wa REA wa awamu ya Kwanza na zaidi huduma hii imewafikia wakazi wengi chini ya Uongozi mahiri wa Dr.John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
.
Juhudi hizi zimeungwa sana mkono na Mbunge wa MULEBA KASKAZINI Ndg.Charles Mwijage kwa kiwango kikubwa ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
.
WANANCHI sasa wanajiuliza kama Serikali hii iliyoamua kuwaletea maendeleo sasa kupitia TANESCO/REA wilaya ya MULEBA imeamua kuwaweka gizani ambako hawakuwahi kuwaza kurejea leo wala kesho kwani wanatambua upo uongozi makini unaowajali na kuwapatia huduma stahiki.
.
WITO wangu kwa Uongozi wa Wilaya ya MULEBA ni kuona ni namna gani bora wanaweza kufanya ili kuwaondoa gizani watu wa kata KAGOMA. Najua utendaji bora wa Mh.Mkuu wa Wilaya ya MULEBA na ni matumaini yangu hili atalisimamia kwa nguvu zote.
.
Mbunge wetu Charles Mwijage,Diwani wetu Chrisant Kamugisha,Meneja wa TANESCO WILAYA pamoja na uongozi wa Chama Cha Mapinduzi WIlaya ya MULEBA chini ya Mwenyekiti Shupavu ATHUMAN KAHARA mnatakiwa kuwarudisha wananchi wetu katika Imani ya kuona miradi mingi iliyowapa nafuu ya Maisha chini ya uongozi wa Rais wetu mpendwa Dr.JPM inaendelea kuwanufaisha na kuwaondoa kwenye lindi la UMASKINI.
.
Kama Upatikanaji wa TRANSFORMER Mpya umekuwa kikwazo tunaomba mtufahamishe wadau wa Maendeleo kata KAGOMA tujue namna bora ya kuipata na kuwapatia ili muifunge kwa maslahi mapana ya wananchi wa Kagoma.

NAWATAKIA KAZI NJEMA.

Omary Rwakyaya
0769010369
TARIME
#MulebaNiYetuSote
#UmemeKagomakwetu

Wananchi wa vijiji viwili vya nyamikoma na kamwanga vilivyopo Mkoa wa Geita wilaya ya Geita vina zaidi ya kata 4400 havijawahi kupata barabara ya gari ,hawana maji ya bomba hawana nishati ya umeme hawana shule ya msingi Wala ya sekondari. Wametishia kutokupiga Kura uchaguzi Mkuu wa mwezi October 28,Kama hawatakuwa wamepatiwa nishati ya umeme. Viongozi wa vijiji hivyo viwili wamefuatilia kupata huduma hiyo kwa meneja wa tanesco mkoa wa Geita takribani miaka 2 Bila mafanikio. Vijiji vyote hivyo viwili vinapakana na mgodi makubwa wa uzalishaji dhahabu duniani geita gold mine, Ila mgodi huo hauwasaidii chochote bado wao ni maskini na hawajui hatima ya maisha yao. Ombinlao wanaomba kupatiwa umeme wa REA ili wawe na maisha Bora Kama wanageita wengine. Tunakuomba Mh magufuli Rais wetu afikishiwe kulio hiki.
 
Back
Top Bottom