Tanesco mpaka mamtoni

Pancras Suday

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2011
Posts
8,144
Reaction score
3,848
Kikwete alitembelea USA akafika kwenye jengo moja la gorofa refu, cha kushangaza aliona ndo jengo pekee ambalo halina umeme akamua kuuliza mbona hili jengo pekee yake ndo halina umeme, wenyeji wakamjibu huu ni ubalozi wenu wa Tanzania
 
Kikwete alitembelea USA akafika kwenye jengo moja la gorofa refu, cha kushangaza aliona ndo jengo pekee ambalo halina umeme akamua kuuliza mbona hili jengo pekee yake ndo halina umeme, wenyeji wakamjibu huu ni ubalozi wenu wa Tanzania
duh!!!...
 
Kikwete alitembelea USA akafika kwenye jengo moja la gorofa refu, cha kushangaza aliona ndo jengo pekee ambalo halina umeme akamua kuuliza mbona hili jengo pekee yake ndo halina umeme, wenyeji wakamjibu huu ni ubalozi wenu wa Tanzania

Hhahahahh... haya bana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…