mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,338
Hivi hayo matengenezo yenu hua yanasubiri tu chadema wanapokua wanafanya mikutano ??? Mbona mna makusudi sana ???? Jana Juzi last weeke umeme ulikuepo full sasa leo mtasema mlitangaza, mnauzi sana watu tumetafuta mpaka excuse tutulie tuangalie yanayojiri nyie mnakata umeme
Subirini na tutawanyoosha ngoja October ipite
Subirini na tutawanyoosha ngoja October ipite