wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 554
Ratiba yenu ilionyesha tarehe 18/10 mtakuwa mmeshawasha mitambo yenu yote inayotumia gass na hakuta kuwa na mgao lakini mpaka leo tarehe 19/10 mgao upo palepale wakati mikoa mingine kama Dar wameshasahau mgao au kwa kuwa wanajua kupiga kelele?
Acheni uhuni Dodoma mpaka leo miezi sita sasa mgao upo vilevile au hujuma?
Acheni uhuni Dodoma mpaka leo miezi sita sasa mgao upo vilevile au hujuma?