MASIKITIKO
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 959
- 428
Huu mtindo wenu wa washa zima tumeuchoka hasa huku Kijitonya,Mnawasha dakika kumi mnazima masaa nane,Mkiwasha tena mnazima,Tumechoka na washa zima yenu mtatuunguzia vitu vyetu,Yakitokea mashindano ya mashirika ya umma yaliyofanya vibaya nyie wa kwanza pamoja na Wizara yenu,